Ajira zipo, hao watu kuanzia certificate mpaka degree ni muhimu sana kwenye hospitals japokuwa serikali yetu kwa kupenda dezo wanaweza ajiri nurses ili wasilipe mishahara mikubwa.
Kwa certificate ni kama 380,000 baada ya makato yote
Kwa Diploma ni kama 550,000 baada ya makato yote
Uzuri wa hyo kozi semina ni nyingi na kila semina huwezi kosa 80,000tsh na unaweza pata semina mbili kwa mwezi zenye jumla ya siku zaidi ya 7,
7 x 80000= 650,000
Na pia ni rahisi kujiajiri tofauti na kozi nyingine. Take it hautajutia.