azimio ernest
Member
- Jun 6, 2017
- 45
- 12
Diploma hii inaajira serikalini?na VIP kuusu mishaara yao.tujuzane wataalamu wa afya
.
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashkuru mkuu nadhani hiyo itakua nikama spirituality kwa mm kwenda kusoma diploma ya pharmacyAjira zipo, hao watu kuanzia certificate mpaka degree ni muhimu sana kwenye hospitals japokuwa serikali yetu kwa kupenda dezo wanaweza ajiri nurses ili wasilipe mishahara mikubwa.
Kwa certificate ni kama 380,000 baada ya makato yote
Kwa Diploma ni kama 550,000 baada ya makato yote
Uzuri wa hyo kozi semina ni nyingi na kila semina huwezi kosa 80,000tsh na unaweza pata semina mbili kwa mwezi zenye jumla ya siku zaidi ya 7,
7 x 80000= 650,000
Na pia ni rahisi kujiajiri tofauti na kozi nyingine. Take it hautajutia.
Pesa ndo kila kitu kakaUnataka shule au unaanhalia hela
Kasome lab, pharmacy utajira tu mkuu, kalaghabao nyingi
Mimi huwa napenda mtu akikosoa kitu anaelezea kwa kina kwanini anadhani lab. ni nzuri kuliko pharmacy, kama Great Thinker kweli
Shatar.