ras mkweli
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 280
- 105
Wewe ukiambiwa uchague aliyepinda na aliyenyooka utachagua nini. Halafu usipende kulinganisha Tembo na Sungura. W.Slaa hapaswi kulinganishwa na Pinda sababu siyo saizi yake.
slaa hafai kuwa rais kwani akiwa rais kila akiona mke wa mtu atapora