Peter Msigwa Live Channel Ten muda huu

Yupo Channel ten analitangaza kanisa lake la Vine Yard? Au kuna kipi kipya anaropoka?
 
Hivi bado yupo huyu!? Amepotezwa mbaya aisee! OK, mada ni nini mara hii?
 
Hata sijui namuonaje.nimebonyeza namba 110 now nacheki zangu movie la Lone Survivor
 
Nimependa kauli yake moja tu Leo kiongozi huwezi kwenda na ujumbe wa mazishi kwenye harusi au kwenye ubatizo ......reffer katerero.....
Its dangerous to give power to an immature person
 
Sigwa nini bhana mambo iko Konda sasa hivi
Kumuelewa msigwa lazima IQ yako iwe inatosha, lakini yule mwingine huna haja ya kuwa nayo kubwa!! Kwani ni vapour tu!! Kesho yamekwisha ila ya msigwa ni vizazi kwa vizazi watayakuta.
 
Back
Top Bottom