Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 9,732
- 10,813
Anaweza kuziedit,na kuondoa jina,akauza mbaya.Ila piga ua, msechu kwa nyimbo zake mbili za maombolezo ya umetuacha imara na tutaonana magufuli kafunika vibaya mno, kawaacha wengine wote kwa mbali sana...
Tatizo ametaja jina ktk hizo nybo vinginevyo hizo nyimbo zingeweza kuwa zinatumika ktk matukio ya misiba mingine...