kuna wale wauza urembo kwenye vikapu huwa wanapita mitaani, wasubiri hao mkuu utapata ya buku nadhani. haya mambo nadhani huyawezi mweleze tu mchumba kuwa huna uwezo asubiri pete ya ndoa ambayo na kwa 70,000 hutapata.
ha ha ha! Umenifurahisha. Nataka kumvisha mmoja, tatizo mabinti hawaaminiki unamvisha pete ya lak2, ata wiki2 nyingi kashasepa. Angalau elfu70 ata akisepa nitaumia kumkosa yeye na si pesa.
ha ha ha! Umenifurahisha. Nataka kumvisha mmoja, tatizo mabinti hawaaminiki unamvisha pete ya lak2, ata wiki2 nyingi kashasepa. Angalau elfu70 ata akisepa nitaumia kumkosa yeye na si pesa.
bht nakumiss wewe umenitupa kabisa aise
Yaani kimya kimya tuu unapita huku
Ring ni zile za kimachinga bana ambazo ukioga nazo ule mng'ao wake unapotea hapo hapo
Maana kama anataka pete haswa dah ajiandae kutoboka mfuko na sio hiyo 20
Kwani anataka amvike pete akae miaka kumi ndo aje kuoa au inakuwaje
Imebidi nicheke tu jamani..kwa comment za wadau..binafsi ninachokushauri mkuu usivunjike moyo! kaa nae mshauriane tena..muweke wazi kuhusu bajeti yako..
Imebidi nicheke tu jamani..kwa comment za wadau..binafsi ninachokushauri mkuu usivunjike moyo! kaa nae mshauriane tena..muweke wazi kuhusu bajeti yako..