Diddy Dirty MoneyMajuu kuna kitu kinaitwa financial tracking. Ukipata pesa ya ghafla tu, benki wana-freeze account yako mpaka utoe proof of funds. Bongo mianya ya kukwepa kodi na mifumo dhaifu ndio inayolea hizo dirty money unazoziita za moto.
Dirty money na pesa za moto ni Tofauti .Hizo ziko Africa pekee aise.
kwingine kote lazima ule kwa jasho na kutumia akili.
Sikatai kwamba kuna dirty money.
Mshana Jr
Mkuu unajua maana ya lile kundi? Diddy alikuwa anamaanisha dirty Money kama pesa iliyochafuliwa na mapenzi/maumivu sio uchawi. Though kweli, ironically, maisha yake ya sasa yamejaa real dirty money na skendo kibao!Diddy Dirty Money
I'm coming Home
Umenitoa Tongotongo kinamna fulani hivi mkuu.Mkuu unajua maana ya lile kundi? Diddy alikuwa anamaanisha dirty Money kama pesa iliyochafuliwa na mapenzi/maumivu sio uchawi. Though kweli, ironically, maisha yake ya sasa yamejaa real dirty money na skendo kibao!
Hii ni kwa sisi tu akina kajamba nani awe wa ulaya au wa wapi. Ila kuna makonnki yanapitisha hela zao kama kawaida na hakuna wa kusema thuu!Majuu kuna kitu kinaitwa financial tracking. Ukipata pesa ya ghafla tu, benki wana-freeze account yako mpaka utoe proof of funds. Bongo mianya ya kukwepa kodi na mifumo dhaifu ndio inayolea hizo dirty money unazoziita za moto.
Hahaha soga kama hizi ndio zinafanya jukwaa liwe changamfu na lenye mafunzo kwa wengine wanaosoma.Umenitoa Tongotongo kibamba fulani hivi mkuu.
Wajefya wang
Ni sawa lakini akili kubwa sana inatumika siyo uchawi mzee, sasa hivi the game has changed, hata hao makonnki unawaona wanavyofanywa vibaya?Hahaha soga kama hizi ndio zinafanya jukwaa liwe changamfu na lenye mafunzo kwa wengine wanaosoma.
kwa ubishi wabongoWewe umekaa nchi gani ya ulaya?
au ndio umeskia story kwa watu
Piga dili lakini kuwa smart.hivi mlivyo wajinga mnafikiri kwamba ulaya hakuna wapiga dili
wanakwambia kila kwenye dili kubwa kuna white folk waiting for his cut