Pesa ni chafu kuliko unavyofikiri

Pesa ni chafu kuliko unavyofikiri

upupu

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2008
Posts
614
Reaction score
198
Habari wakuu?

Mimi si mtu wa kutoka sana viwanja, wiki iliyopita nilifanikiwa kutembea kwenye kumbi fulani za starehe (night club), nikaingia V.I.P lounge, wakati wa kuingia huko nikasachiwa na walinzi wakachukua simu zangu zote na vifaa vyote vya kieletronic.

Sikujua kwanini, ila kuzama ndani, niliyoyakuta ni kama hadithi, yale niliyoona kwenye cinema leo nimeyakuta live; strippers live live, bikini na sidiria tu, wanakatikia wateja wachache waliopo VIP, anakuja ulipokaa anakuchezea, unampa hela, wengine wanamuingizia hela sehemu za siri, nilishangaa, mida ilivyoenda zaidi, wakavua nguo zote na kubaki kama uch* kabisa, majamaa wanawaita, wanawapapasa sehemu zao, wanawapangusia hela, na kuwatunza, hii ikanifanya niconclude kuwa hizi noti tunazotumia ni chafu mno, usidiriki kuitia mdomoni, au kulamba kidole wakati wa kuhesabu, ni CHAFU sana hazifai.
 
:spy::spy: Habari wakuu,mimi si mtu wa kutoka sana viwanja, wiki iliyopita nilifanikiwa kutembea kwenye kumbi fulani za starehe (night club), nikaingia V.I.P lounge, wakati wa kuingia huko nikasachiwa na walinzi wakachukua simu zangu zote na vifaa vyote vya kieletronic,

Sikujua kwanini, ila kuzama ndani, niliyoyakuta ni kama hadithi, yale niliyoona kwenye cinema leo nimeyakuta live, strippers live live, bikini na sidiria tu, wanakatikia wateja wachache waliopo VIP, anakuja ulipokaa anakuchezea, unampa hela, wengine wanamuingizia hela sehemu za siri, nilishangaa, mida ilivyoenda zaidi, wakavua nguo zote na kubaki kama uch* kabisa, majamaa wanawaita, wanawapapasa sehem zao, wanawapangusia hela, na kuwatunza, hii ikanifanya niconclude kuwa hizi noti tunazotumia ni chafu mno, usidiriki kuitia mdomoni, au kulamba kidole wakati wa kuhesabu, ni CHAFU sana hazifai.
Sawa ila hizo
ulizoziona ni %.00000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
ya pesa ilipo mzungkony
 
Kama ulikuwa hujui.ni pesa pekee ambayo ilitakiwa inyanyapaliwe kwa uchafu ila kwa sababu pesa ni-nyumba, chakula, usafiri, mavazi, na vizuri vyote vinavyoshikika.hatuangalii ila leso ya mtu aaah wapi, sishiki.
 
HAHAAA wengine wanawekaga kwenye manyonyo

Hapo napo patamu, pesa imetoka huko club baada ya kuwekwa kwenye tezi Jike, baadae imewekwa kwenye tezi dume, mama akaiaweka kwenye manyonyo, halafu anatoa nyonyo anamnyonyesha mtoto, ndo mana saa nyingine watoto wanaumwa magonjwa ya ajabu ajabu.
 
HAHAAA wengine wanawekaga kwenye manyonyo

Hapo napo patamu, pesa imetoka huko club baada ya kuwekwa kwenye tezi Jike, baadae imewekwa kwenye tezi dume, mama akaiaweka kwenye manyonyo, halafu anatoa nyonyo anamnyonyesha mtoto, ndo mana saa nyingine watoto wanaumwa magonjwa ya ajabu ajabu.
 
Manyonyo Ndo Nini? Hebu Fafanua!

images
 
Kiukweli hela ni chafu sana maana yapita mikono mingi sana
 
Konda wa daladala kaumia mkono akiwa anafunga mlango, pesa alizokuwa nazo mkononi zikalowa damu watu wakakataa kupokea change mpaka wapewe nyingine na wengine wakasamehe kabisa. We Sangomwile ushawahi kutaste pesa na mdomo?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom