ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,561
- 44,753
Nashindwa kuelewa kwanini ukipata pesa ndo shida zinaanza..kwa mfano Mimi kipindi nimebumbwa kitaa Sina kazi nilikuwa natumia chini ya laki mbili kwa Mwezi kwa mahitaji yangu nikiunga unga katika vibarua.ila nashangaa nikapata kazi napata Zaidi ya laki sita kwa Mwezi ila ndo shida zinajitokeza zinazofanya nisolve.
Kwa mfano kulipa fine au fidia baada ya kuharibu Mali ya mtu Mara police kila kukicha kusolve misala ya hapa na pale.yaani shida shida zinajitokeza mpaka hio laki sita Tena naiona ndogo haitoshi mambo Ni mengi muda nashindwa kufahamu kwanini siwezi Tena kwenda na Yale matumizi ya laki mbili kwa Mwezi Kama mwanzo halafu hata kujenga sijengi Wala siweki akiba yaani zote zinapotelea kwa binadamu wenzangu.
Kwa mfano kulipa fine au fidia baada ya kuharibu Mali ya mtu Mara police kila kukicha kusolve misala ya hapa na pale.yaani shida shida zinajitokeza mpaka hio laki sita Tena naiona ndogo haitoshi mambo Ni mengi muda nashindwa kufahamu kwanini siwezi Tena kwenda na Yale matumizi ya laki mbili kwa Mwezi Kama mwanzo halafu hata kujenga sijengi Wala siweki akiba yaani zote zinapotelea kwa binadamu wenzangu.