Zero 2 Hero
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 369
- 591
Mkuu una-update vipi PES? Pia hapo kwenye vram napata shida kidogo maana ninashindwa kusave dataKwa wale wapenzi wa game za mpira kwenye pc karibuni tujumuikeni hapa hasa kwa wale wa pc na hata console pia sio mbaya. Lengo ni kupeana mambo kama yafuatayo-:
Latest patch (update transifer,kit,faces etc)
Tricks na mengineyo mengi.
Binafsi kwa sasa nacheza zaidi pes 2017( Nimeupdate next season 2018-2019.) Hii ni kutokana na kuwa ni jepesi na zuri kwa graphics. Likihitaji processor ya 2 duo, 1gb ram na mb512 vram.(gpu)
Kama umekwama mahali, tatizo lolote uliza hapa wadau tukujibu.
Nb:Game kwetu burudani kama burudani zingine.
ila nafurahi pes 2017 ndo game lao la mwisho jepesi likuwa na gb ndogo kama 3.4 tu kwa repark. Huku bado likiwa na graphics kali.Siku hizi fifa ni nyepesi kuliko pes.
Update unadownload kusha unainistall moja kwa moja kwenye installation foder ya game lako.Mkuu una-update vipi PES? Pia hapo kwenye vram napata shida kidogo maana ninashindwa kusave data
Nimejaribu, napata ya jan tuSearch google micano4u. Kuna update latest kabisa ya fifa 14 imetoka ndani ta wiki hii utaikuta kwenye hiyo blog
leo hii hii nimekuta. But poa ngoja nikirudi home nitaingia then nitakupa linkNimejaribu, napata ya jan tu
Poa poa mkuuleo hii hii nimekuta. But poa ngoja nikirudi home nitaingia then nitakupa link
Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.Update unadownload kusha unainistall moja kwa moja kwenye installation foder ya game lako.
Kuhusu vram ni hardware inayohusika na maswala ya ku process video na graphic kwenye pc
Me huwa natumia box then O.Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.
Harafu unaweza badili configuration kwenye setting kama zilizopo zinakusumbua..Napenda game za soccer japo siyo mkongwe kwenye Hili. Mimi Natumia PES 2016 na magoli yangu mengi nafunga kwa #1 kwa kutumia Ucom. Tatizo huwa napaisha na kugongesha kwenye post mipira mingi Sana. Unakuta shots 8-12 on target 2-4. je nikitaka kupiga shut la chinichini nafanyaje? Maana mashuti ya chinichini huwa nayabahatisha.
PCHizi ni za PC au Ps
UPO PANDE ZIPIMkuu ya 1&4 nitakupataje nije na xteno
Nipo dsm mkuuUPO PANDE ZIPI
Game kali iyo wewewatch dogs 2 gb nyingi, ndani hamna kitu, napenda open world games, zaidi ya gta v,assassin creed na witcher 3,sjaona nyingine
dah me nipo dom mkuuNipo dsm mkuu
Basi imekula kwangu mkuudah me nipo dom mkuu
Ulikua unataka , Niko Dom piadah me nipo dom mkuu
unazo game za kutosha?Ulikua unataka , Niko Dom pia
Zipo za kutosha,unazo game za kutosha?