Mi naona hili tatizo sio kwa Diamond peke yake, hii shida inawakumba vijana wote dunia nzima, lack of cultural Identity yaani kukosa utamaduni wa asili, vijana wengi wa africa, south amerika, eastern europe, na russia hawajaweza kubuni identint ya kijana mwenye fedha aishiye hivyo vijana wengi kwenye hayo maabara ya njaa wanajikuta wanakopy utamaduni wa black american.