oriflametz
Member
- May 31, 2016
- 47
- 12
Habari wana jf,
Nauza seti za perfume za kike na kiume.. Seti moja kubwa inakua na vitu vitano...
Kwa seti za kike, inakua na perfume, spray, sabuni, poda na lotion..
Kwa seti za kiume, kunakua na sabuni ya maji na ya kipande, spray, perfume na aftershave balm..
Zipo seti ndogo pia zenye bidhaa nne..
Zinapatkana kwa 25000 jumla kuanzia piece 10 kwa seti kubwa na rejareja 28000
Set ndogo 21000 jumla kuanzia piece 10 na rejareja 25000... Napatkana dar na mikoani natuma pia... Ambae anahitaji ani pm
Karibuni..
Nauza seti za perfume za kike na kiume.. Seti moja kubwa inakua na vitu vitano...
Kwa seti za kike, inakua na perfume, spray, sabuni, poda na lotion..
Kwa seti za kiume, kunakua na sabuni ya maji na ya kipande, spray, perfume na aftershave balm..
Zipo seti ndogo pia zenye bidhaa nne..
Zinapatkana kwa 25000 jumla kuanzia piece 10 kwa seti kubwa na rejareja 28000
Set ndogo 21000 jumla kuanzia piece 10 na rejareja 25000... Napatkana dar na mikoani natuma pia... Ambae anahitaji ani pm
Karibuni..