"Peoples Power"

huna jambo la maana kujadili wewe. kwanza hao akina Okwi@Boban@sunzu wote hawapo msimbazi siku hizi

Mkuu umejiona vile ulivyo na hoja za kitoto sana. Kweli kua uyaone, nashuhudia watu wakubwa lakini wana mawazo ya kitoto.
 
Na je tafsiri ya CCM INAWENYEWE? Maccm haki ya Mungu sijui kama mnaakili za wanadamu hai,nahisi mnaakili za Mai
 

Kwa hiyo ulitaka waende ulaya chama kizima na wakereketwa wote..duh... Kweli akili timamu ni adimu sana siku hizi
 
Tuliiambia miccm mwaka 2011 kwamba pumziko la kamanda Lema litapambana kupigana vita vinavyo pumbaza akili za wanadamu,kazi ilifanyka barabara,ukomavu wa fikra kwa watanzania umeongezeka,Liberation is coming tommorrow.
 
Hivi ingekuwa kama huyu mleta mada alivyotafakari kwa muda mrefu hiviangefikiri kidogo tu na kujiuliza kwanini JK anasafiri kila siku kwenda majuu lakini hajawahi hata siku moja kuambatana na wajumbe wa mitaa wa CCM. Akili zingine bwana aaah!
 
mkuu, kwani wewe hawa jamaa hujawashrukia tu? hawa wanatuhadaa tu wananchi. hawawezi kututumia tu kama mipira ya uzazi.

Mnaiga tena?Tulianza kuitana jembe mkaiga,tukaanza kuitana makamanda mkaiga,tukawaita wafuasi maccm yanatumika kama condom leo mnatugeuzia sio? SASA NI HIVI,ACHENI KUCOPY NA KUPASTE KAMA BIG RESULTS MILLION YEARS TO COME IN CCM DREAMS.
 

Labda walisafiri na Bulembo kwenda Tanga sasa imekuwa issue. Shule za kata ziborezhwe jamani. Hii product yake ni disaster..
 
"ccm ina wenyewe"...means only few who own and befit the party, acha chadema watambe, ccm mna dhambi kubwa sana kwa watanzania

 

Poorest post ever!! Nadhani facebook kunakufaa zaidi!!
 

kumbe unaongeka kwa visafari? unakuwa kama lukosi shame on u
 
Mkuu umejiona vile ulivyo na hoja za kitoto sana. Kweli kua uyaone, nashuhudia watu wakubwa lakini wana mawazo ya kitoto.

mkuu hiyo kitu aliiona msigwa akasema profesa wa miccm anachangia kama darasa la pili sasa unafikiri kidato cha nne cha shule ya kata cha miccm atachangia nini
 
Huna uwezo wa kututoa kwenye kujadili mambo ya msingi. muokota makopo
Kula na vipofu kunahitaji taiming, mmpigwa changa la macho na mnaowaita wakombozi, wanajineemesha wenyewe mnabakia kutukana tu...nyie endeleeni kutukana wenzenu wanaingiza siku na matrip kila kukicha...
 
Poorest post ever!! Nadhani facebook kunakufaa zaidi!!
Join Date : 16th December 2012
Posts : 130
Rep Power : 369
Likes Received27
Likes Given122




mda mwingi unautumia kuangalia pono na fb..karibu JF
 

njoo kinyumenyume.! Labda karne 18
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhh,kweli hauna akili,kwahiyo unataka siku viongozi wa CHADEMA wakiwa ziarani nje ya nchi waende na raia wote? You must think like a grown man,siyo unakuwa na fikra fupi kama za kichanga,shame upon u
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhh,kweli hauna akili,kwahiyo unataka siku viongozi wa CHADEMA wakiwa ziarani nje ya nchi waende na raia wote? You must think like a grown man,siyo unakuwa na fikra fupi kama za kichanga,shame upon u
wewe kweli ni ng'ombe ulaya..unashindwa kuelewa japo post ndogo tu kama hii mistari kadhaa tu, sijui ulifaulu vp maradasa uliyosoma..ngoj anikueleweshe, post hii ilikua na lengo la kuuliza wana CDM kua mbona kasi ya maendeleo binafsi ya viongozi wao haiendani na ukuaji wa wananchi wanaowawakilisha?? nadhani umenielewa..haya sasa changia ukiwa umenielewa
 
Join Date : 16th December 2012
Posts : 130
Rep Power : 369
Likes Received27
Likes Given122




mda mwingi unautumia kuangalia pono na fb..karibu JF
Rudi shule,au nenda fb,usi dhalilishe JF kwa kupost utumbo wako humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…