Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

Penzi la mdada trafiki lilivyonitesa

Selemani Sele

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
339
Reaction score
756
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.

Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba msamaha sana akasema tuachane tu hawezi haya mambo, tukaachana nikajua yameisha kumbe.

Sasa siku napita pale Ubungo mataa naona nasimamishwa na trafiki naanza kukaguliwa naambiwa fire extinguisher na bima ni kweli nilikuwa sina nikalipishwa, wiki nzima faini zilifika kama laki tatu kila siku kosa kumbe yule Dada trafiki kawapa no ya gari yangu wakawa wananishambulia sana faini ilifika laki 6 pale Disemba nikaamua kupaki gari tu ndani.

Nimemuomba msamaha ila kasema kanisamehe ila anashambulia sana.
 
Ha haaaa uza hilo gari ununue lingine.......wana visasi hao hakiishi
 
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.

Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba msamaha sana akasema tuachane tu hawezi haya mambo, tukaachana nikajua yameisha kumbe.

Sasa siku napita pale Ubungo mataa naona nasimamishwa na trafiki naanza kukaguliwa naambiwa fire extinguisher na bima ni kweli nilikuwa sina nikalipishwa, wiki nzima faini zilifika kama laki tatu kila siku kosa kumbe yule Dada trafiki kawapa no ya gari yangu wakawa wananishambulia sana faini ilifika laki 6 pale Disemba nikaamua kupaki gari tu ndani.

Nimemuomba msamaha ila kasema kanisamehe ila anashambulia sana.
Sasa si ulikuwa Huna fire extinguisher na bima?...ulitaka usipigwe faini
 
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.

Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba msamaha sana akasema tuachane tu hawezi haya mambo, tukaachana nikajua yameisha kumbe.

Sasa siku napita pale Ubungo mataa naona nasimamishwa na trafiki naanza kukaguliwa naambiwa fire extinguisher na bima ni kweli nilikuwa sina nikalipishwa, wiki nzima faini zilifika kama laki tatu kila siku kosa kumbe yule Dada trafiki kawapa no ya gari yangu wakawa wananishambulia sana faini ilifika laki 6 pale Disemba nikaamua kupaki gari tu ndani.

Nimemuomba msamaha ila kasema kanisamehe ila anashambulia sana.
BIMA 118,000 na fire extinguisher haizidi 50,000, triangle red sign haizi 20,000. Mpaka inafika 600,000 huo ni uzembe wako. Umemlea sana huyo

Enzi za ujana wangu ningegutua rafiki yake anayetumwa na kama ni mshikaji tungekaa chemba kiume.
 
Kuna siku trafiki wa kike aliwahi kunisimamisha maeneo ya kati ya dodoma na singida, jina la eneo lile nimelisahau lakini kuna ka kituo ka polisi kadogo kapo upande wa kushoto kama ukiwa unatoka dom kwenda Sing.

Baada ya kuweka gari pembeni nikampimia kwenye mirror ni boooonge moja la pisi.

Alivyofika tu nikaingia fataki mode, kabla ya stori hazijawa nyingi nikaanza kumsifia pale chekesha chekesha akaingia kwenye mfumo.

Nikatoa simu kumpa aandike namba mara ghafla likaja askari la kiume(liliona anavyocheka cheka) likaunguza picha yote

Badala ya kuondoka na namba nikaondoka na cheti.
 
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.

Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba msamaha sana akasema tuachane tu hawezi haya mambo, tukaachana nikajua yameisha kumbe.

Sasa siku napita pale Ubungo mataa naona nasimamishwa na trafiki naanza kukaguliwa naambiwa fire extinguisher na bima ni kweli nilikuwa sina nikalipishwa, wiki nzima faini zilifika kama laki tatu kila siku kosa kumbe yule Dada trafiki kawapa no ya gari yangu wakawa wananishambulia sana faini ilifika laki 6 pale Disemba nikaamua kupaki gari tu ndani.

Nimemuomba msamaha ila kasema kanisamehe ila anashambulia sana.

Wewe dogo; unaendesha gari mjini, huna leseni, huna Bima, huna Fire extinguisher unafikiri huo ni mkokoteni?
Hakikisha gari lina vitu vinavyotakiwa; acha kusingizia trafiki?

Lakini pia, Unawezaje kulipa faini takribani laki sita ushindwe kuweka hivyo vitu vinavyotakiwa kwenye gari ambavyo havifiki hata laki mbili AU ndio tuseme unamatatizo ya Afya ya akili...samahali lakini
 
Aisee, Ngoja nipumue kidogo mwaka jana mwezi wa sita nilitongoza mdada kitaa, akanikubalia tukawa wapenzi.

Sasa huyo dada hakuniambia kwamba ni Trafiki nilikuja kugundua nilivyopita Ubungo Mataa na kumuona.
Sasa kuna siku mwezi wa 11 mwaka jana nikavusha mdada ghetto akatufumania, nilionba msamaha sana akasema tuachane tu hawezi haya mambo, tukaachana nikajua yameisha kumbe.

Sasa siku napita pale Ubungo mataa naona nasimamishwa na trafiki naanza kukaguliwa naambiwa fire extinguisher na bima ni kweli nilikuwa sina nikalipishwa, wiki nzima faini zilifika kama laki tatu kila siku kosa kumbe yule Dada trafiki kawapa no ya gari yangu wakawa wananishambulia sana faini ilifika laki 6 pale Disemba nikaamua kupaki gari tu ndani.

Nimemuomba msamaha ila kasema kanisamehe ila anashambulia sana.
1.Sitori yako ina ukskasi kidogo kwa wanao jua magari, traffiki haruhisiwe kukupa faini zaidi ya mbili kwa wakati moja.
2 kila faini ni 30,000 unapewa siku saba kuilipa ukichelewa kulipia kwa mwezi moja inaongezeka kwa 50% manaake 30,000 inakua 45000.
3. Trafiki hawezi kukuandikia mkeka wa fine bila kua na leseni yako hata akiwa na namba ya gari.
Sasa kwako ilikuja je mpaka 600 000, aliandika je wakati huna lesseni. Duh.
 
Kuna siku trafiki wa kike aliwahi kunisimamisha maeneo ya kati ya dodoma na singida, jina la eneo lile nimelisahau lakini kuna ka kituo ka polisi kadogo kapo upande wa kushoto kama ukiwa unatoka dom kwenda Sing.

Baada ya kuweka gari pembeni nikampimia kwenye mirror ni boooonge moja la pisi.

Alivyofika tu nikaingia fataki mode, kabla ya stori hazijawa nyingi nikaanza kumsifia pale chekesha chekesha akaingia kwenye mfumo.

Nikatoa simu kumpa aandike namba mara ghafla likaja askari la kiume(liliona anavyocheka cheka) likaunguza picha yote
😂😂😂😂😂😂
 
1.Sitori yako ina ukskasi kidogo kwa wanao jua magari, traffiki haruhisiwe kukupa faini zaidi ya mbili kwa wakati moja.
2 kila faini ni 30,000 unapewa siku saba kuilipa ukichelewa kulipia kwa mwezi moja inaongezeka kwa 50% manaake 30,000 inakua 45000.
3. Trafiki hawezi kukuandikia mkeka wa fine bila kua na leseni yako hata akiwa na namba ya gari.
Sasa kwako ilikuja je mpaka 600 000, aliandika je wakati huna lesseni. Duh.
Kaka uwa hatusemi tunaishia kusoma ili waje wa aina yake nao watupange tucheke kimya kimya siku ipite mkuu wangu
 
1.Sitori yako ina ukskasi kidogo kwa wanao jua magari, traffiki haruhisiwe kukupa faini zaidi ya mbili kwa wakati moja.
2 kila faini ni 30,000 unapewa siku saba kuilipa ukichelewa kulipia kwa mwezi moja inaongezeka kwa 50% manaake 30,000 inakua 45000.
3. Trafiki hawezi kukuandikia mkeka wa fine bila kua na leseni yako hata akiwa na namba ya gari.
Sasa kwako ilikuja je mpaka 600 000, aliandika je wakati huna lesseni. Duh.
Kila siku tatizo jipya
 
Ngoja nijaribu kudate nao,

Nione kama utamu wao ni sawa na wa huku mtaani.
 
Back
Top Bottom