Kwangu kuchepuka is a disrespect but it is a very big disrespect mume kulala na housegirl. .
Kwa hiyo hapo tunakuwa wake wawili ndani, kuna kuheshimiana kweli hapo?. .
Mi ntakutukana tu badala ya kukushauri, ngoja niishie hapahapa
Ndio nyie mnaopotosha wenzenu. Utamu huo ni upi ambao mke wako hana.Halafu house girl anakuwa mtamu xna,hongera boss kwa kupata utamu wa house girl
Kweli kabisa hiyo pacha.Ulipaswa kugundua hakuna House geli mgumba
Hapana we beki hukabi unaruhusu tu mashambulizi mipira ya doba inakupita kwann msifungweHafai vipi wakati alifuatwa. Shida iko kwa baba hapo.
Mkuu lete beki 2 ambaye ni house boy amtafune mkeo halafu refa apulize kipenga cha mwisho ambapo itakua moja moja ngoma droo ndio utabaki salama mkuuWakuu
Hapa akili imejaa maji kabisa isijue nini cha kufanya!
Baada ya wife kubadilisha hose girl siku za hivi karibuni, alifanikiwa kuleta binti toka huko iringa
Huyu binti ni mrembo kwa kweli na alivyokuja jijini hapa hali yake ya maisha imebadilika kapendeza saaana yaani mwanaume lijali lazima anaswe naye tu
Basi hakukaa hata mwezi akajikuta kanizoea, mi na wife tukienda kazini nawahi kurudi kabla yake hivyo muda nakuwa homu na huyo house girl, na nikafanikiwa kumpata rahisi tu mimi kama bosi wake hata sijamtongoza nikalaza mtu horizontal
Kweli nimeamini penzi la house girl halimwachi mtu salama, sasa house mad huyu ananiambia anaujauzito wa mwezi mmoja
siko salama wakuu, hapa hofu yangu wife akijua hili timbuli atakufa mtu!
Sina namna, nakuombeni shortcut nimalizane na huyu beki tatu nibaki salama yaani iwe kimya kmya bla ya wife kujua!
Hapana we beki hukabi unaruhusu tu mashambulizi mipira ya doba inakupita kwann msifungwe
Booonge la ushauri hili.Pumbafu tangaza kuongeza mke
We we weeee. Hebu waonee huruma lolYani huyo beki tatu ameshindwa kuwa kama marcelo aseee,,
sema safiii "mwanaume kuzaa bwana"in gwajima's voice