Pentagon to recruit aliens on visas

Pentagon to recruit aliens on visas

Did it happen?


It did Mkuu. A lot of guys from Trinidad and Tobego, St. Vincent and Jamaica waliutumia huu uwazi. Wengi wao walikuwa ni Teachers, Dr. na hata ma Chaplin!

Good luck to them. Sasa wamesema hata ndugu zao wa karibu, kama Mke/Mume na watoto wao walio chini ya miaka 21 watapewa Uraia in less than Five month. That is a good part of it.

Walianzsiha program inaitwa MAVNI
 
soon we are goin to start to see tanzanians fighting in afghanistan, do you honestly they are goin to recruit foreigners and let them just stay in millitary bases in us? this in other word is fighting front line! watch out these people have never been such kind to offer job like that to citizen of other nationalities!
 
Inamaanisha watu mko tayari kwenda kuziuza nchi zenu, na mnatangaza wazi wazi? Pentagon hawatawatumia waswahili kutafsiri lugha au culture za waarabu, watawatumia kutangaza propaganda zao ndani ya tanzania, kuchunguza na kuwataarifu mienendo ya kisiasa tanzania/east africa, na mambo mengine ambayo hayatakuwa na faida yoyote kwa tanzania. Lakini kwa viza, kipato na vikolombwezo vingine najua wengi tu watakao-overlook mambo hayo.

Viongozi wenu wanajua hayo ndiyo maana hawatapitisha kamwe dual-citizenship.
 
soon we are goin to start to see tanzanians fighting in afghanistan, do you honestly they are goin to recruit foreigners and let them just stay in millitary bases in us? this in other word is fighting front line! watch out these people have never been such kind to offer job like that to citizen of other nationalities!

for sure that is what is going to happen. Being employed in US without green card? they must be looking for something else out of it.
 
soon we are goin to start to see tanzanians fighting in afghanistan, do you honestly they are goin to recruit foreigners and let them just stay in millitary bases in us? this in other word is fighting front line! watch out these people have never been such kind to offer job like that to citizen of other nationalities!


UK is already doing this, my friends son is studying in Uk at Univ and is already a Royal Navy recruit. too shame, they will probably just be shields for the whites in the war with taleban.
 
Back
Top Bottom