mtayeshelwa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 1,170
- 390
Siwashangai kwani nyinyi wote ni zaidi ya viraza,Kwa sababu waislam ndiyo wamehusika kuwaua viongozi wa dini yetu ndiyo maana mnaona Pengo kakosea,Lakini sishangai kwa wenzetu magaidi sory maharamia sory alishababu,nimekosea janja weed hapana siyo waislamu kuuwa ni suna,waki uwa ndiyo mnapata kuzimu hapana siyo moto sory pepo ya Shetani hapana allah.ndo hapo sasa,,,,,halafu yeye aambiwe ni nani hasa?
POLISI wame'fail' zamani sana, Matukio yaliotajwa kwenye hii habari yanatoa ushahidi wa kutosha.Police haven't failed. It's too early to accuse them of that.
Sito shangaa POLCCM kutomuhoji huyu MZEE kwani kwa vyovyote anajua mengi, Ilitakiwa saa hiziz wapo ofisini kwake hawape dondoo ya nini anachokijua.
Kwa hiyo hutaki ama , unamaanisha nini mbona haueleweki mkuu?
Hata ukikataaa, hilo halinaubishi, JK ni hopeless!
Mkuu unaonekakana shule imekupita pembeni,wewe ulitaka awapongeze wauwaji kwa kazi nzuri,Acha kundekeza udini jadili mada husika na siyo nani? kaleta mada.
Ni kweli lakini tusisahau na yule shekhe aliuawa kwa kupigwa mapanga kipindi sambasamba na mauaji ya padri Mushi.Nashangaa huyu hatajwi au kundi lake halijali kilichotokea? Nashauri mtu anaemua ugomvi wa watoto wa2 asimkamate mkono m1wapo na kumpa nafasi mwenzake kupata nafasi kuendelea kurusha makonde,CJUI NIMEELEWEKA?
umeeleweka ila Pengo na wafuasi wake hawatakuelewa,maana yule ni Shekh na hao waliodhuliwa na kuuawa ni MAPADiRI
Jakaya Kashindwa kukamata wauaji kwa sababu ya 'uislam' wake ndo maana hiyo kazi kakabidhi wakristo wenzenu FBI na M16, nao washatoa picha ya muuaji saidieni kuwakamata badala ya kuendelea kuchonga, siku hizi hupati Headline ya magazeti bila ya kumponda Jakaya peleken lawama FBI!