dada mkubwa kupenda ni kipaji ujue!WACHACHE SANA WANA HIYO BAHATI!my dear, subiri upate atakayekudatisha ndo ujiulize kwa nini watu wanakabidhi mioyo yao kwa wapenzi........
mimi hii siishangai kabisaaaaaaaaaaaa, sababu ili nifurahie mapenzi naamini kwenye kujikabidhisha kwa mwenzangu mwili na moyo.....
akinitenda, time is always the best solution......with time nitapona tu.
siamini kwenye kupenda nusu nusu, naona sijitendei haki ya kufurahia mapenzi
mlongo wangu umesahau kiungo muhimu katika mapenzi MOYO, lol!dada mkubwa kupenda ni kipaji ujue!WACHACHE SANA WANA HIYO BAHATI!
tujibwilie tu poouwder yetu!
UTEJA OYEEEEEE!kwa raha zetu!lol
TUMETUMBUKIZA MIGUU,MIKONO,KIUNO,KICHWA,NYWELE,KANDAMBILI,UGALI,MAJANI YA NG'OMBE,ASALI,SARAFU ah mradi tu kila kitu!
hiyo ni mbaya sana katika mahusiano, ndo maana mimi nasema mara nyingi ni vizuri na muhimu sana kuwa na break toka relationship moja kwenda nyingine..... usihame toka kwa huyu kwenda kwa mwingine, ni mbaya sana...... mwisho wa siku wewe ndo unakuwa muhanga.....Dah mtu wangu FP umezungumza kiutaalamu na uzoefu tena wa kiutu uzima, kwa kifupi umeni -move.
Kwa kufuatilia maongezi yako na nivea na hii sred inaonekana bidada nivea ni mhanga au bado ana majeraha.
Wengi tukitoka kwenye maumivu huwa tunakuja na imani nyingi ila labda tuwe tunazungumzia kitu kingine, ila kwenye mapenzi.... Hamna kupenda nusunusu, kama unajiona upo hvyo kwenye mahusiano yako basi isubiri ajali kamili!
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!
nafikiri nivea unahitaji kukutana na mtu kama mim then tuone kama utaendelea kua na mtazamo kama huo zingatia hayo nlioweka kwenye rangi nyekundu naanza na PM then mengine yatafuta...dadad FP bwaga moyo wako wote safisana natumia akili sana kuliko moyo wangu mie so naishi kwa maarifa sana kwenye hii dunia moyo wangu una nafasi ndogo sana katika kucontrol maisha yangu aisee .siwezi ukabidhi wote kama gunia la sukari niuzwe kwa kilo kusubiri kuisha nitaipataje furaha wakati wakilio changu
Nani amesema halizibiki? wewe msamehe mwone wa kawaida piga chini chukua chombo kipya weka ndanimapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!
Pole sana mapenzi hayana icon ya undo kama kwenye computer ila muda uta clear tu majeraha uliyopata.