Tuwaseme
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 645
- 1,194
Ndugu zangu wa JF nawasalimu,
Pengine nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu kwa afya njema aliyonipatia.Kisha niende kwenye mada.
Ni Ukweli usiopingika kuwa Upepo wa Magufuli umeanza kupotea na hii imetokana na hatua ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa kwenda CHADEMA.
Tunajua rekodi nzuri ya kiutendaji ya Mgombea wa CCM Dk. John P. Magufuli inamuweka katika nafasi ya kushindwa kupambanua kashfa zake, Lakini rekodi mbaya ya Chama Chake+Watu waliomzunguka na wengine wengi wa aina hiyo wanaweza kusababisha kushuka na kushindwa kwa Magufuli ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Pia Ikumbukwe kuwa tafiti mbali mbali zilizowahi kufanywa na taasisi mbalimbali mwaka 2014na 2015 kuhusu mgombea wa Urais anayekubalika zaidi, Tafiti nyingi zilimtaja Lowassa kama mgombea anayekubalika zaidi na kufuatiwa na Dr. Slaa. Magufuli hakuwepo hata kwenye 5 bora za tafiti zote zilizofanywa.
Sasa tunaona muungano wa watu hawa waliotajwa kuongoza ktk tafiti, Lowassa na Slaa wakiwa ktk Chama Kimoja+Mbowe+Lipumba+Mbatia, Nini kitatokea hapo?
Pengine nianze kwa kumshukuru mwenyezi Mungu kwa afya njema aliyonipatia.Kisha niende kwenye mada.
Ni Ukweli usiopingika kuwa Upepo wa Magufuli umeanza kupotea na hii imetokana na hatua ya Waziri Mkuu Mstaafu Edward Ngoyai Lowassa kwenda CHADEMA.
Tunajua rekodi nzuri ya kiutendaji ya Mgombea wa CCM Dk. John P. Magufuli inamuweka katika nafasi ya kushindwa kupambanua kashfa zake, Lakini rekodi mbaya ya Chama Chake+Watu waliomzunguka na wengine wengi wa aina hiyo wanaweza kusababisha kushuka na kushindwa kwa Magufuli ktk uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Pia Ikumbukwe kuwa tafiti mbali mbali zilizowahi kufanywa na taasisi mbalimbali mwaka 2014na 2015 kuhusu mgombea wa Urais anayekubalika zaidi, Tafiti nyingi zilimtaja Lowassa kama mgombea anayekubalika zaidi na kufuatiwa na Dr. Slaa. Magufuli hakuwepo hata kwenye 5 bora za tafiti zote zilizofanywa.
Sasa tunaona muungano wa watu hawa waliotajwa kuongoza ktk tafiti, Lowassa na Slaa wakiwa ktk Chama Kimoja+Mbowe+Lipumba+Mbatia, Nini kitatokea hapo?