galaw
Member
- Oct 1, 2016
- 13
- 29
Habari Watanzania.
Kiongozi makini ni yule anaetenda na kufanya yale anayoyasema,ikiwa kuna pengo yaani gap kati ya hotuba na vitendo kwa kiongozi tafsiri yake ni ulaghai hata hivyo hakuna kitakachofanikiwa kwani huwezi sema a alafu ukaandika b. Na hii ndo changamoto kubwa kwa viongozi wetu
Kiongozi makini ni yule anaetenda na kufanya yale anayoyasema,ikiwa kuna pengo yaani gap kati ya hotuba na vitendo kwa kiongozi tafsiri yake ni ulaghai hata hivyo hakuna kitakachofanikiwa kwani huwezi sema a alafu ukaandika b. Na hii ndo changamoto kubwa kwa viongozi wetu