Pendeleza adhabu ya aliyelawiti Kiteto

Pendeleza adhabu ya aliyelawiti Kiteto

JAMHURI

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
449
Reaction score
60
Jamani katika kile kilichodaiwa kuwa ni udhalilishaji na unyanyasaji jamaa mmoja hapa kiteto amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukutwa gesti na mwanaume mwenzake mtoto tena mwenye matatizo ya akili amekamatwa live na polisi kwa kuvunja mlango wa chumba cha gest

pendekeza adhabu...
 
Adhabu inapendekezwa JF? Mimi ninachojua mahakamani ndiko adhabu zinatolewa.
 
inadaiwa Kuwa alikuwa anamlawiti...jiongeze hapo
 
Atakuwa mchagga huyo,make siku hizi hawa watu wanapenda tigo balaa,ona jamaa yao aliyeolewa jujuzi tu huko ulaya
 
Kwani mahakama zimeacha kutoa hukumu siku hizi?
 
Wananchi wenye hasira kali walikuwa wapi kuja kutoa adhabu zao zile......!!
 
Huyo anahitaji ushauri nasaha....
Kwani kama ameweza kumchukua huyo kijana na kwenda naye gest hausi ina maana angeleweza kuchukua mbadala...dada poa ukizingatia hadi hela ya gesti anayo....
 
Back
Top Bottom