Kwa mawazo haya sidhani kama umepita chuoni maana unaonekana ni mbovu kuliko mwanafunzi wa darasa la IV.Hivi anayefundisha Mathematics form IV lazima awe amefundisha wanafunzi hao kuanzia form I had III? AU hukuona hilo udhaifu katika fikra zako.Wengi tumepitia shule na vyuoni na waalimu wetu tunawajua na wengine hata majina tumewapa kwa ufundishaji wao ama mzuri au mbaya.
Wadau nimefuatilia kwa muda mijadala ya sababu za kushuka kwa elimu yetu na nini kifanyike. Katika mijadala hii lipo kundi la upande wa waalimu, watunga sera, wachambuzi wa sera, wazazi, waalimu nk.
Kila kundi limejaribu kuonyesha mapungufu ya upande fulani.
Wengi tumepitia shule na vyuoni na waalimu wetu tunawajua na wengine hata majina tumewapa kwa ufundishaji wao ama mzuri au mbaya.
Pendekezo langu ni kuwa kila NECTA wanapotoa paper zao za kidato cha 4 au 6 mwalimu wa somo husika afanye na darasa lake na usahihishwe na NECTA. Nia ni kuona kiwango cha waalimu husika cha waalimu wa masomo hayo kama kweli wanauelewa wa kutosha na kama kweli wanafunzi wanafaulu kwa kufundishwa au kwa juhudi zao binafsi?
Na huo uwe sehemu ya hitaji kwa mwalimu kupandishwa cheo/ daraja.
Nawasilisha.
U nahitaji kupimwa akili na uwezo wako wa kufikiri.Wadau nimefuatilia kwa muda mijadala ya sababu za kushuka kwa elimu yetu na nini kifanyike. Katika mijadala hii lipo kundi la upande wa waalimu, watunga sera, wachambuzi wa sera, wazazi, waalimu nk.
Kila kundi limejaribu kuonyesha mapungufu ya upande fulani.
Wengi tumepitia shule na vyuoni na waalimu wetu tunawajua na wengine hata majina tumewapa kwa ufundishaji wao ama mzuri au mbaya.
Pendekezo langu ni kuwa kila NECTA wanapotoa paper zao za kidato cha 4 au 6 mwalimu wa somo husika afanye na darasa lake na usahihishwe na NECTA. Nia ni kuona kiwango cha waalimu husika cha waalimu wa masomo hayo kama kweli wanauelewa wa kutosha na kama kweli wanafunzi wanafaulu kwa kufundishwa au kwa juhudi zao binafsi?
Na huo uwe sehemu ya hitaji kwa mwalimu kupandishwa cheo/ daraja.
Nawasilisha.
Walishafanya mtihani wakafaulu ndo mana niwalimu..wewe unataka wafanye mitihani mingine ya nini tenaWadau nimefuatilia kwa muda mijadala ya sababu za kushuka kwa elimu yetu na nini kifanyike. Katika mijadala hii lipo kundi la upande wa waalimu, watunga sera, wachambuzi wa sera, wazazi, waalimu nk.
Kila kundi limejaribu kuonyesha mapungufu ya upande fulani. Wengi tumepitia shule na vyuoni na waalimu wetu tunawajua na wengine hata majina tumewapa kwa ufundishaji wao ama mzuri au mbaya.
Pendekezo langu ni kuwa kila NECTA wanapotoa paper zao za kidato cha 4 au 6 mwalimu wa somo husika afanye na darasa lake na usahihishwe na NECTA.
Nia ni kuona kiwango cha waalimu husika cha waalimu wa masomo hayo kama kweli wanauelewa wa kutosha na kama kweli wanafunzi wanafaulu kwa kufundishwa au kwa juhudi zao binafsi?
Na huo uwe sehemu ya hitaji kwa mwalimu kupandishwa cheo/ daraja.
Nawasilisha.