isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
Moja kitu nilichofahamu hivi karibuni, endapo kuna wazo au unahitaji implementation fulani basi liweke katika formal na lifikishe kwa wahusika.
Tunaweza andika barua kuzitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu kupitisha ombi Ligi Kuu, Bodi ya Ligi na TFF kuanza kutumia VAR.
Tunaweza kuziandikia Ligi Kuu, Bodi ya Ligi na TFF kuzitaka kuanza kutumia VAR, nadhani hii ndio njia rahisi ya kufikisha mawazo.
Tunaweza andika barua kuzitaka timu zinazoshiriki Ligi Kuu kupitisha ombi Ligi Kuu, Bodi ya Ligi na TFF kuanza kutumia VAR.
Tunaweza kuziandikia Ligi Kuu, Bodi ya Ligi na TFF kuzitaka kuanza kutumia VAR, nadhani hii ndio njia rahisi ya kufikisha mawazo.