nsharighe
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 1,439
- 2,211
Mh Rais, Mama Yetu mpendwa, Mama mnyenyekevu na msikivu Nakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Bila kuchelewa, Ni maombi yangu kwako Kama Mtanzania, Naomba Umteue Bernard Camilus Membe Kuwa Director General wa Idara ya Usalama Wa Taifa ili atusaidie kurejesha nidhamu na kuunda upya idara hii nyeti nchini.
Mama, Mh Rais.
Bernard Camilus Membe Ni mtumishi mkongwe wa Idara na Ana uzoefu wahali ya juu na nidhamu yake Ni ya kutukuka.
Nawasilisha.
Mungu akujaalie Afya na Siha Njema.
Bila kuchelewa, Ni maombi yangu kwako Kama Mtanzania, Naomba Umteue Bernard Camilus Membe Kuwa Director General wa Idara ya Usalama Wa Taifa ili atusaidie kurejesha nidhamu na kuunda upya idara hii nyeti nchini.
Mama, Mh Rais.
Bernard Camilus Membe Ni mtumishi mkongwe wa Idara na Ana uzoefu wahali ya juu na nidhamu yake Ni ya kutukuka.
Nawasilisha.
Mungu akujaalie Afya na Siha Njema.