Pendekezo: Nyimbo na slogan ya UKAWA

Pendekezo: Nyimbo na slogan ya UKAWA

Makyomwango

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
322
Reaction score
80
Heshima kwenu wapendamabadiliko nje ya CCM

Katika kipindi hiki chakuelekea kampeni za uchaguzi mkuu inapendekezwa kuwe na slogan moja ya kuutambulisha UKAWA. Sasa hivi Chadema wanatumia peaples power, NLD - MotoMoto, CUF - Haki sawa kwa wote. Vile vile kuwe na nyimbo za uhamasishaji kwa jina la ukawa zenye kusismua

Ni vyema mambo haya yakafanyika mapema hususn kabla ya Kampeni kuanza


Nawasilisha
 
Inaweza tumika hii UKAWA TUMAINI LETU
 
Nitamchagua diwani na Mbunge kutoka UKAWA na si zaidi ya hapo. Kwa siye tuaminiao kwenye misingi na tunu Lowassa hachaguliki, kumchagua Lowassa sawa na Kujitia Kidole Matakoni kamwe siwezi,nawatakia kila la kheri mnaoiweza kazi hiyo!
Sasa ndo tuseme unatafuta wa kukutia hicho kidole au?
 
ya nini kujitesa wakati ukwawa maisha yake mafupi? baada ya octoba mnagawana mbao
 
Nitamchagua diwani na Mbunge kutoka UKAWA na si zaidi ya hapo. Kwa siye tuaminiao kwenye misingi na tunu Lowassa hachaguliki, kumchagua Lowassa sawa na Kujitia Kidole Matakoni kamwe siwezi,nawatakia kila la kheri mnaoiweza kazi hiyo!



Wee unataka kuFi..Rw@@@@@@ weee...

Ukawa hatufanyi uchafu huo...peleka hukooo CCM...
 
Kuna ule wimbo wa Msaga Sumu (Lowasa huyo)unatia mzuka kinoma, yani unaweza kujikuta unatembea Dar mpaka Dodoma kwa mguu mkiandamana huku jimbo hilo likipigwa.
Ambaye anao huo wimbo please nitumie kwa Number hii 0682 338065
 
  • Thanks
Reactions: ibn
Heshima kwenu wapendamabadiliko nje ya CCM

Katika kipindi hiki chakuelekea kampeni za uchaguzi mkuu inapendekezwa kuwe na slogan moja ya kuutambulisha UKAWA. Sasa hivi Chadema wanatumia peaples power, NLD - MotoMoto, CUF - Haki sawa kwa wote. Vile vile kuwe na nyimbo za uhamasishaji kwa jina la ukawa zenye kusismua

Ni vyema mambo haya yakafanyika mapema hususn kabla ya Kampeni kuanza


Nawasilisha

Mi nashauri kwa sasa zisiwepo kwani turawachanganya wananchi kwani umoja huu haujatambulika rasmi na kimsingi CHADEMA ndio imesimamisha mgombea urais
 
Kuna ule wimbo wa Msaga Sumu (Lowasa huyo)unatia mzuka kinoma, yani unaweza kujikuta unatembea Dar mpaka Dodoma kwa mguu mkiandamana huku jimbo hilo likipigwa.
Ambaye anao huo wimbo please nitumie kwa Number hii 0682 338065

Uliupata ule wimbo wa Lowassa? Kama bado PM namba yako ya whatsapp nikurushie!!
 
Back
Top Bottom