Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

Pendekezo la Biashara ya kuchakata maji ya kunywa

Fact1990

Member
Joined
Sep 28, 2014
Posts
82
Reaction score
96
Habari,

nimepita na kuona machine ndogo za kuchakata maji ya kunywa kwa uwezo 500L kwa saa zinauzwa hapa Tanzania, nimeona ni fursa kwangu kwakuwa nina source ya maji nyumbani na eneo naloweza funga mashine hivyo kubakiwa na kazi ya kutafuta chanzo cha fedha kufanikisha, hivyo nimeona niliweka hapa wazi kupata ushauri wowote kuhusu biashara hii. Na attach mfano wa project na mfano wa pendekezo la kutafutia mtaji nililosaidiwa kuandikiwa na open AI.

 

Attachments

Hii inapatikana wapi mkuu? Naomba contact Zako nahitaji mtambo kama huo au Tu share idea jinsi ya kufanya Mimi ninauzoefu wa viwanda vya maji
 
kiwanda cha kuchakata maji faida yake ni ndogo sana kama utakua unanunua chupa pengine uwe na kiwanda cha kutengeneza chupa .Kuna jamaa yangu alijaribu na akawa anasambaza hadi kwenye maofisi lakini akaona hapati faida ,akabuni mradi wa kutengeneza hizi pombe za Gin. Uko ndiko kuliko mtoa na kwenye faida.,pia Dar kuna competion kubwa sana ya viwanda vya maji kabla ya biashara jipange pia leseni kww Dar hawatoi sijui kwa sasa ila walizuiq.
 
kiwanda cha kuchakata maji faida yake ni ndogo sana kama utakua unanunua chupa pengine uwe na kiwanda cha kutengeneza chupa .Kuna jamaa yangu alijaribu na akawa anasambaza hadi kwenye maofisi lakini akaona hapati faida ,akabuni mradi wa kutengeneza hizi pombe za Gin. Uko ndiko kuliko mtoa na kwenye faida.,pia Dar kuna competion kubwa sana ya viwanda vya maji kabla ya biashara jipange pia leseni kww Dar hawatoi sijui kwa sasa ila walizuiq.
Asante kwa taarifa, ingawa mimi nipo mkoa wa pwani ila nitafatilia zaidi.
 
kiwanda cha kuchakata maji faida yake ni ndogo sana kama utakua unanunua chupa pengine uwe na kiwanda cha kutengeneza chupa .Kuna jamaa yangu alijaribu na akawa anasambaza hadi kwenye maofisi lakini akaona hapati faida ,akabuni mradi wa kutengeneza hizi pombe za Gin. Uko ndiko kuliko mtoa na kwenye faida.,pia Dar kuna competion kubwa sana ya viwanda vya maji kabla ya biashara jipange pia leseni kww Dar hawatoi sijui kwa sasa ila walizuiq.
Sahihi na hata hiyo mashine kwa amabo wanapiga hela hapa dar wanauza kwa reja reja bila vifungashio yani mtu anakuja na chupa yake kuchukua maji, kuna mshkaji yupo anapiga zaidi ya 150 per day na ni mradi mpya
 
Habari,

nimepita na kuona machine ndogo za kuchakata maji ya kunywa kwa uwezo 500L kwa saa zinauzwa hapa Tanzania, nimeona ni fursa kwangu kwakuwa nina source ya maji nyumbani na eneo naloweza funga mashine hivyo kubakiwa na kazi ya kutafuta chanzo cha fedha kufanikisha, hivyo nimeona niliweka hapa wazi kupata ushauri wowote kuhusu biashara hii. Na attach mfano wa project na mfano wa pendekezo la kutafutia mtaji nililosaidiwa kuandikiwa na open AI.

Uz kwa rejareja usiwaze kufungasha kwny machupa weka mashine eneo zuri lenye watu wa kawaida utasahau hata mambo ya kuweka kwenye machupa
 
Back
Top Bottom