Kwanza nawasalim
pili naomba kuwashauri kwakuwa polisi wamezuia maandamano yetu ya kesho kwa visingizio mbalimbali ikiwemo ya mchina kuja tanzania na ccm kufanya maandamano kesho hiyohiyo naomba nishauri yafuatayo kesho tuwaachie ccm waandamane na mchina aje tanzania sisi tupange maandamano yetu siku nyingine na nashauri yawe baada ya pasaka na iwe siku ya j mosi ili kupata wafuasi wa kutosha maana siku za kazi wengine tunafanya kazi serikalini tukiacha kazi tukaenda kuandamana tunaweza kupoteza kibarua pili tukilazimisha kufanya kesho wakati wameshakataza mwitikio utakuwamdogo na wao wakapata ya kusema. Naomba tutumie busara nawasilisha.
pili naomba kuwashauri kwakuwa polisi wamezuia maandamano yetu ya kesho kwa visingizio mbalimbali ikiwemo ya mchina kuja tanzania na ccm kufanya maandamano kesho hiyohiyo naomba nishauri yafuatayo kesho tuwaachie ccm waandamane na mchina aje tanzania sisi tupange maandamano yetu siku nyingine na nashauri yawe baada ya pasaka na iwe siku ya j mosi ili kupata wafuasi wa kutosha maana siku za kazi wengine tunafanya kazi serikalini tukiacha kazi tukaenda kuandamana tunaweza kupoteza kibarua pili tukilazimisha kufanya kesho wakati wameshakataza mwitikio utakuwamdogo na wao wakapata ya kusema. Naomba tutumie busara nawasilisha.