Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
KitwangaGuys,
Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa mkurugenzi. Naomba kwa mwenye idea ya jina ambalo halitakuwa la kibaguzi in terms of race, diveristy na marketing stunts.
Regards
Eeeh maana si Mara nyingi itakuwa inaburudisha wanywaji?"Kitwangala band" teh!
Uwiiiiii.....!!!!Kitwanga
Hayaaaa.....!!"Kitwangala band" teh!
U're a proRafiki Music Band
Ngengedu BandsGuys,
Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa mkurugenzi. Naomba kwa mwenye idea ya jina ambalo halitakuwa la kibaguzi in terms of race, diveristy na marketing stunts.
Regards