Pendekeza jina zuri la band yangu ya Muziki

Joel Johansen

JF-Expert Member
May 12, 2016
242
319
Guys,

Naomba mnipendekezee jina zuri la band ya Muziki ambayo itakuwa ikitumbuiza kwenye 5 Star Hotels tu. Wanabendi ni wazungu na waafrika wa mataifa ya nje na wabongo kidogo...mimi nikiwa mkurugenzi. Naomba kwa mwenye idea ya jina ambalo halitakuwa la kibaguzi in terms of race, diveristy na marketing stunts.

Regards
 
Kitwanga
 
Ngengedu Bands
 
'jambo music' au 'jambo jambo band'
Nipo kwenye soko la utalii kwa miaka kumi sasa.
Tumia hili jina hutojuta.
 
Zanzibar Hotel tunauza sana 'jambo jambo' cd iliyochezwa na safari band.
So jina jambo tiyari liko kwa masikio ya wazungu.
Nimrjaribu kuangalia kwenye mtandao bado sijaona band ya muziki ambayo inatumia jina hili so ni wewe tu kuamua kulitumia.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…