Penda mwanamke anayejua maisha

Penda mwanamke anayejua maisha

Nimegundua wanaume ni wachache sana awamu hii
 
teheee teheee wadanganyi tupo wengi...ila hatusemi kiboya namna hii...sasa wanaume wanatafuta wadada watafutaji na wadada wanatafuta wanaume watafutaji..na hao wengine watapata wapi wenza???
 
teheee teheee wadanganyi tupo wengi...ila hatusemi kiboya namna hii...sasa wanaume wanatafuta wadada watafutaji na wadada wanatafuta wanaume watafutaji..na hao wengine watapata wapi wenza???

Watapata madanga road.

Siyo lazima kila mtu awe na ndoa.
 
teheee teheee wadanganyi tupo wengi...ila hatusemi kiboya namna hii...sasa wanaume wanatafuta wadada watafutaji na wadada wanatafuta wanaume watafutaji..na hao wengine watapata wapi wenza???
Itajulikana Mbele Kwa Mbele !! Kazi hipo kizazi hiki duuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom