Pemba: RC KAS PEMBA athibitisha Idadi ya waliofariki kwa kula KASA yafikia 6, waliofikishwa Hospital kuchunguzwa 63

G-Mdadisi

Senior Member
Feb 15, 2018
157
99
Mbunge wa Jimbo la Konde, Mohammed Said Issa 'Kiboribo' amesema ulaji wa samaki aina ya KASA ni jambo la kawaida kwa jamii ya visiwani licha ya samaki huyo kusababisha athari kwa walaji.

Ametoa kauli hiyo mapema leo November 28, alipofika Hospital ya Wilaya Micheweni kwaajili ya kuwafariji waathirika waliolazwa katika hospitali hiyo baada ya kula samaki huyo anaedaiwa kuwa na sumu katika Shehia ya Msuka wilayani hapo na kupelekea vifo.

Amesema licha ya samaki huyo kusababisha madhara kwa wananchi hasa vifo lakini ameipongeza serikali kwa kufanikiwa kulishughulikia bila taharuki zaidi kama ilivyokuwa kwa miaka ya nyuma.

VIDEO:

Mapema leo mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib amesema mpaka kufikia leo asubuhi vifo vimefikia 6 huku jumla ya waliofikishwa hospitalini hapo wakiwa ni wananchi 63 kwaajili ya kutanyiwa uchunguzi ili sumu hiyo isiendelee kuwaathiri.


VIDEO:
 
Pole kwa wafiwa...toka utoto wangu,miaka nenda miaka rudi nasikia habari hizi za ndugu zetu Unguja na Pemba kufariki kwa kuka kasa. Wanapaswa kujifunza athari za hawa kasa.
 
duh nmetoka kula leo saa 2 usiku na bkul kubwa la supu ya pweza kumbe ni sumu
emoji24.png
emoji24.png
emoji24.png
 
Mbunge wa Jimbo la Konde, Mohammed Said Issa 'Kiboribo' amesema ulaji wa samaki aina ya KASA ni jambo la kawaida kwa jamii ya visiwani licha ya samaki huyo kusababisha athari kwa walaji.

Ametoa kauli hiyo mapema leo November 28, alipofika Hospital ya Wilaya Micheweni kwaajili ya kuwafariji waathirika waliolazwa katika hospitali hiyo baada ya kula samaki huyo anaedaiwa kuwa na sumu katika Shehia ya Msuka wilayani hapo na kupelekea vifo.

Amesema licha ya samaki huyo kusababisha madhara kwa wananchi hasa vifo lakini ameipongeza serikali kwa kufanikiwa kulishughulikia bila taharuki zaidi kama ilivyokuwa kwa miaka ya nyuma.

VIDEO:

Mapema leo mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib amesema mpaka kufikia leo asubuhi vifo vimefikia 6 huku jumla ya waliofikishwa hospitalini hapo wakiwa ni wananchi 63 kwaajili ya kutanyiwa uchunguzi ili sumu hiyo isiendelee kuwaathiri.


VIDEO:

Naomba kuelimishwa kuhusu samaki kasa. Je, ni bàadhi ya samaki hawa ndio walio na sumu au kasa wote wanasumu? Maana inanipa shida kidogo kuona wananchi wa Pemba kufa kwakula samaki Kasa mwenye Sumu wakati natambua visiwani wanawafahamu samaki kuliko kitu kingine na ndio chakula kikuu. Pole kwa wafiwa..
 
Naomba kuelimishwa kuhusu samaki kasa. Je, ni bàadhi ya samaki hawa ndio walio na sumu au kasa wote wanasumu? Maana inanipa shida kidogo kuona wananchi wa Pemba kufa kwakula samaki Kasa mwenye Sumu wakati natambua visiwani wanawafahamu samaki kuliko kitu kingine na ndio chakula kikuu. Pole kwa wafiwa..
Kwanza kanza siyo samaki (fish) anaitwa kasa hivyo hivyo (turtle).
Kasa wako wa aina angalau mbili, wanaoliwa na ambao wana sumu wasioliwa.

Hapo ndipo panapotakiwa utaalamu wa kuwatenganisha.
Ni sawa na uyoga kuwa ukikosea ukavuna wenye sumu basi ukila unakufa
 
RPC Kaskazini Pemba Juma Sadi Khamis leo November 29 amesema vifo kwa waliokula KASA vimeongezeka na kufikia 7 hadi leo.

VIDEO:
 
Kasa wanafananaje!? Kuna mwaka huko nyuma yalitokea haya
Mbunge wa Jimbo la Konde, Mohammed Said Issa 'Kiboribo' amesema ulaji wa samaki aina ya KASA ni jambo la kawaida kwa jamii ya visiwani licha ya samaki huyo kusababisha athari kwa walaji.

Ametoa kauli hiyo mapema leo November 28, alipofika Hospital ya Wilaya Micheweni kwaajili ya kuwafariji waathirika waliolazwa katika hospitali hiyo baada ya kula samaki huyo anaedaiwa kuwa na sumu katika Shehia ya Msuka wilayani hapo na kupelekea vifo.

Amesema licha ya samaki huyo kusababisha madhara kwa wananchi hasa vifo lakini ameipongeza serikali kwa kufanikiwa kulishughulikia bila taharuki zaidi kama ilivyokuwa kwa miaka ya nyuma.

VIDEO:

Mapema leo mkuu wa mkoa wa Kaskazini Pemba, Salama Mbarouk Khatib amesema mpaka kufikia leo asubuhi vifo vimefikia 6 huku jumla ya waliofikishwa hospitalini hapo wakiwa ni wananchi 63 kwaajili ya kutanyiwa uchunguzi ili sumu hiyo isiendelee kuwaathiri.


VIDEO:
 
zanzibar wamebarikiwa sana matibabu ni bure kabisa operation yoyote bure kabisa na dawa wapewa bure kabisa sijui sisi tunafeli wapi? mtu anakufa kwa kukosa pesa ya matibabu.
 
Back
Top Bottom