Haya mambo yanashangaza kabisa. Hivi kweli kama Seif ana wafuasi wa kutosha Pemba, Kwa nini anafanya fujo, haachi zoezi hilo likaendelea kama lilivyopangwa? Na jee ana hofu gani wakti Pemba ndiyo ngome yake? mwaka huu tutajua la kweli!!
Jawabu lako analo kikwete,alipokuja znz alisema atayalinda mapinduzi kwa njia yoyote na gharama yoyote na atakaechezea atakiona.