Peleka Hashtag #Zamu Yao

October 2pm

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2023
Posts
1,124
Reaction score
1,983
Wao wanataka kuvuruga amani ya nchi. Tutawanyorosha. Wameua ndugu zetu. Wanataka kutuua walinda amani shubamit. Mwisho wao umefika. Zamu yao. Na bado. Waonjesheni biriani walizoea kuipika. Venye hawajui kipi kwa mbele. Walahi watajua hawajui. Na bado
 
Mmeshindwa kunyorosha wizi wenu,ni nini mnaweza kushoosha sasa?
 
Unachokiombea na kukisapoti hukijuwi madharra yake pimbi wewe
Yaani hii michawa ikishakuwa na namba za simu za watawala inajiona na yenyewe ni mitawala...kumbe ni toilet pepa tu inagombea mwendokasi sawa na raia wengine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…