Pdidy shopping center:50%discount

Pdidy shopping center:50%discount

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,878
Mod wengi wamelalamika awaelewi kiswahili cha didy embu nimeamua kusikia kilio chao tuwaangalie na hili kama awaelewitena basi wasubiri braza

katika kumkumbuka marehemu mamayangu mzazi nimeleta vitu vya wamama na kutoapunguzo ....zoezi hili linaambatana na ajira za watu watakaokuwa wakikuletea hapo ulipo

pochi za wamama 35"000
nyingine 60'000 ukiwa na i'd ya jf utalipa 50000
pochi za wababa ngozi 25"000


zipo nguo za wamama 50"000 unapendeza uitaji kusubiri msiba wa wasaniiupendeze na sare anza sasahivi

Ofaa hii ni mpaka nitakapoingia Bungeni 2015 namanisha uchaguzi wa 2015

Kazikwenu

kwamawasiliano zaidi piga kwa meneja masoko

0658 215540

nb:usiache kumwombea mjomba wangu kakayake mama nimepigiwa yuko mautiuti mkono wa mungu ukamtembelee nasema hivi kwa machozi mwakajuzi nimezika june(Mama)...mwakajana june.(Bibi)...leo tena napigiwa hivi wewee june nakulaani kwa jinala YESU endeelea kutuombea ..kumbukakila kitachonunuliwa alf 5 unamchangia mgonjwa
 

Attachments

  • 1402253940252.jpg
    1402253940252.jpg
    54.7 KB · Views: 160
  • 1402253965341.jpg
    1402253965341.jpg
    64.6 KB · Views: 136
  • 1402254025111.jpg
    1402254025111.jpg
    92.8 KB · Views: 121
  • 1402254047492.jpg
    1402254047492.jpg
    62.7 KB · Views: 120
  • 1402254075716.jpg
    1402254075716.jpg
    61.6 KB · Views: 112
  • 1402254098342.jpg
    1402254098342.jpg
    45.8 KB · Views: 105
  • 1402254116893.jpg
    1402254116893.jpg
    55.1 KB · Views: 109
  • 1402254141065.jpg
    1402254141065.jpg
    57.8 KB · Views: 108
  • 1402254164429.jpg
    1402254164429.jpg
    95.7 KB · Views: 107
  • 1402254213651.jpg
    1402254213651.jpg
    62.3 KB · Views: 116
  • 1402254244591.jpg
    1402254244591.jpg
    50.4 KB · Views: 129
Pole sana mkuu.... Mwenyenzi Mungu atamuafu mgonjwa, inshaalah...
Back to b.ness Vikoi bei ngapi?
 
vitu vyako vizuri. sema tu hapo kwenye maelezo ya bei umeyakoroga kidogo kama kawaida yako. ungeweka na voice clip kabisa kuvutia biashara
 
Didy hii nadhani uitupie kule kwenye jukwaa la biashara na uchumi au jukwaa la lugha :smile-big:
 
Mautiuti=kinshasa
mahututi=dar es salaam
 
Pole sana mkuu.... Mwenyenzi Mungu atamuafu mgonjwa, inshaalah...
Back to b.ness Vikoi bei ngapi?

Haya ndio maneno
Kuna pochi ZA 35ALF..50ALF
KUNA POCHINDOGO ZA BUKU KUMI ZA WANAUME BUKU 20

KUNA NGUO ZA KIKE ALFU 40--STANDARD UKIENDA MISIBA YA WASANII YKO PEKE YAKO SIO KAAMA SARE ZA MAZISHI

ZAIDIYAHAPO KUMBUKA UNATOA MCHANGO KWA MGONJWA ANAEENDA KUKUBARIKI
 
Mmmh hiyo 50% discount yako mbona haionekani kwenye hizo bei?
 
Back
Top Bottom