Pccb wasilaumiwe

Pccb wasilaumiwe

Junior MC

New Member
Joined
Oct 16, 2011
Posts
3
Reaction score
0
MCHINA KAKAMATWA AKITOA RUSHWA YA TSH 500000/- KWA MKUU WA WILAYA BUNDA, KAPELEKWA MAHAKAMANI KAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA AU FAINI YA TSH 700000/- AKATOA HIYO LAKI 7 NA KUACHILIWA HURU... NISAIDIENI HII SHERIA WAPENDWA.
Chanzo ITV
 
MCHINA KAKAMATWA AKITOA RUSHWA YA TSH 500000/- KWA MKUU WA WILAYA BUNDA, KAPELEKWA MAHAKAMANI KAHUKUMIWA MIAKA 3 JELA AU FAINI YA TSH 700000/- AKATOA HIYO LAKI 7 NA KUACHILIWA HURU... NISAIDIENI HII SHERIA WAPENDWA.
Chanzo ITV

Kwamujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa PCCA Na. 16/2007 kifungu cha 15 kinahusiana na currupt transaction ambalo ndio kosa lililotendeka hapo juu.
Kosa hili haliitaji kibali cha DPP kwasababu ushahidi wake unakuwa umekamilika papo hapo.
Sheria nyingi za Tanzania zinakuwa na loopholes kiasi kwamba watuhumiwa wengi wamekuwa wakiachiwa huru sio wa rushwa tu!Kwa mfano sheria inasema ukitenda kosa fulani uta tozwa fine ya tshs 100000 au kwenda jela miaka miwili isizidi mitatu au vyote kwa pamoja.Neno au linatoa mwanya kwa hakimu kutoa maamuzi yoyote.
Kesi inapofika mahakamani hakimu anakuwa ndio mwenye discration,hivyo basi iwapo hakimu atakuwa na conflict of intrest yoyote ile mfano kupokea rushwa kutoka kwa defendant lazima hata tenda haki na iwapo atakuwa na chuki binafsi na mtuhumiwa,anaweza akatumia sheria at maximum i.e kifungo na fine.
Thats why TAKUKURU wanahitaji kuwa na mahakama yao.
 
PCCB wanaweza kukata rufaa kama hawakuridhika na sio kulalamika pembeni huu mchezo unawza kuhusisha pande zote pia sijasikia mamlaka husika zikisema chochote kama kumfukuza nchini kwa sababu mgeni akivunja sheria za nchi hatakiwi kuendelea kuwepo
 
Kwamujibu wa sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa PCCA Na. 16/2007 kifungu cha 15 kinahusiana na currupt transaction ambalo ndio kosa lililotendeka hapo juu.
Kosa hili haliitaji kibali cha DPP kwasababu ushahidi wake unakuwa umekamilika papo hapo.
Sheria nyingi za Tanzania zinakuwa na loopholes kiasi kwamba watuhumiwa wengi wamekuwa wakiachiwa huru sio wa rushwa tu!Kwa mfano sheria inasema ukitenda kosa fulani uta tozwa fine ya tshs 100000 au kwenda jela miaka miwili isizidi mitatu au vyote kwa pamoja.Neno au linatoa mwanya kwa hakimu kutoa maamuzi yoyote.
Kesi inapofika mahakamani hakimu anakuwa ndio mwenye discration,hivyo basi iwapo hakimu atakuwa na conflict of intrest yoyote ile mfano kupokea rushwa kutoka kwa defendant lazima hata tenda haki na iwapo atakuwa na chuki binafsi na mtuhumiwa,anaweza akatumia sheria at maximum i.e kifungo na fine.
Thats why TAKUKURU wanahitaji kuwa na mahakama yao.
Hata wakiwa na mahakama yao still itakuwa na mahakimu kwa hiyo hali itaendelea kuwa hiyo hiyo ingawa huenda inaweza kusaidia kupunguza tatizo.Kuna haja ya sheria mbalimbali hususani za rushwa kupitiwa ili ziende na wakati.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Sheria nyingi za Tanzania zimetungwa kwenye mazingira ya kuwalinda wenye nazo na madaraka. Hivyo usishangae kilichotokea. Imagine Mkapa alipotuhumiwa kuhujumu uchumi kwa kujimilkisha mgodi wa Kiwira angekuwa mtu wa chini angetumiwa FFU na mizinga kukamatwa. Kwa ufupi ni kwamba sheria mara nyingi ziko kuwalinda wenye pesa na madaraka. What is stipulated for a white-collar job offender is totally different from what is stipulated for the street sweeper. Jeffrey Reiman wrote, " The rich get rich and the poor get prison." And this is the law.
 
Hata wakiwa na mahakama yao still itakuwa na mahakimu kwa hiyo hali itaendelea kuwa hiyo hiyo ingawa huenda inaweza kusaidia kupunguza tatizo.Kuna haja ya sheria mbalimbali hususani za rushwa kupitiwa ili ziende na wakati.


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Iwapo PCCB watafanikiwa na mahakama yao basi wataajiri ma hakimu wao na sio kutumia mahakimu wa mahakama za serikali.
Cha muhimu ni sheria zetu kurekebishwa ili kuziba ile mianya ya kuruhusu hakimu kumuachia huru mtuhumiwa.Sheria inatakiwa ku specify adhabu ya kosa moja kwa moja,mfano kufungwe mwaka moja na fini ya Tshs laki tano!
 
Ni bora tu huyo mkuu wa wilaya angelamba hiyo laki 5
 
Back
Top Bottom