PC sahihi kwa matumizi ya video games(simulators)

PC sahihi kwa matumizi ya video games(simulators)

cheetah255

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2017
Posts
1,382
Reaction score
2,413
Ni PC ipi sahihi kwa matumizi ya simulators kama Euro Track2 na Need for the speed.Nimekua nikitumia dell inspiron1500 yenye ukubwa wa RAM 2 Gb processor ya 2.30GHz naimekua inastack sana imenifanya ni sifurahie tena hizi software kwenye PC.Ni PC yenye vigezo gani natakiwa niitumie ili kufurahia hizi software?.
 
Mkuu PC za bei rahisi kabisa ambazo unacheza games vizuri bila matatizo na kufanya mambo mengi ni zile zenye cpu za intel 4th generation i3/i5/i7

Hizi unazipata around 400,000 mpaka 600,000 used, unaweza pia kuzipata chini ya hapo ukitafuta.

Unaponunua pc usiangalie model, pc inaweza itwa jina fulani na ikawa na configuration tofauti. Angalia specs za ndani.
 
Mkuu PC za bei rahisi kabisa ambazo unacheza games vizuri bila matatizo na kufanya mambo mengi ni zile zenye cpu za intel 4th generation i3/i5/i7

Hizi unazipata around 400,000 mpaka 600,000 used, unaweza pia kuzipata chini ya hapo ukitafuta.

Unaponunua pc usiangalie model, pc inaweza itwa jina fulani na ikawa na configuration tofauti. Angalia specs za ndani.
Shukran mkuu nitatafu intel core i5.
 
Mkuu PC za bei rahisi kabisa ambazo unacheza games vizuri bila matatizo na kufanya mambo mengi ni zile zenye cpu za intel 4th generation i3/i5/i7

Hizi unazipata around 400,000 mpaka 600,000 used, unaweza pia kuzipata chini ya hapo ukitafuta.

Unaponunua pc usiangalie model, pc inaweza itwa jina fulani na ikawa na configuration tofauti. Angalia specs za ndani.
Kabla ujanunua PC unatakiwa kuangalia nn??? Ili kujua hii ndio Nzuri na inaweza xheza hata game kama euro track bila kustak na ma game mengine
HDD
Ram
Na vinginevyo!!!!
 
Kabla ujanunua PC unatakiwa kuangalia nn??? Ili kujua hii ndio Nzuri na inaweza xheza hata game kama euro track bila kustak na ma game mengine
HDD
Ram
Na vinginevyo!!!!

Ram na HDD ni muhimu lakini vinaongezeka, unaweza ukavitoa ukaeka vikubwa zaidi hivyo usiangalie sana hivi vitu kwenye ununuzi.

kwa games na software nyengine kubwa angalia sana cpu na gpu.

kwenye laptop kuna gpu za aina mbili
-gpu ya ndani inayokuja na processor (internal gpu)
-gpu ambayo ipo inakuja separate na processor (dedicated gpu)

laptop nzuri ni hizo zenye dedicated gpu lakini bei zake pia zimesimama nyingi zinazidi milioni

kutokana na kipato cha mtanzania tunajaribu kutafuta laptop yenye internal gpu nzuri zaidi, hapo ndio unapotakiwa uangalie, processor nzuri yenye gpu nzuri.

hapa ndio zinakuja generation, nitazipanga kwa uzuri kuanzia juu kwenda chini.

-generation ya 8
-generation ya 7
-generation ya 6
-generation ya 4
-generation ya 5
-generarion ya 3
-generation ya 2

generation ya kwanza achana nayo, na ya nne ni nzuri kuliko ya 5 sababu hapo kulikuwa na transition kuanzia ya 5 mainstream zilitumia 15w badala ya 35w, hivyo cpu zinazotumia umeme mkubwa za 4th zina nguvu kuliko za umeme mdogo za 5th.

kuzijua hizo generation huanzia tu na maelfu ya namba ya generation

mfano cpu ya 8th itaanziwa na 8xxx ya 4 itaanziwa na 4xxx etc
 
Ram na HDD ni muhimu lakini vinaongezeka, unaweza ukavitoa ukaeka vikubwa zaidi hivyo usiangalie sana hivi vitu kwenye ununuzi.

kwa games na software nyengine kubwa angalia sana cpu na gpu.

kwenye laptop kuna gpu za aina mbili
-gpu ya ndani inayokuja na processor (internal gpu)
-gpu ambayo ipo inakuja separate na processor (dedicated gpu)

laptop nzuri ni hizo zenye dedicated gpu lakini bei zake pia zimesimama nyingi zinazidi milioni

kutokana na kipato cha mtanzania tunajaribu kutafuta laptop yenye internal gpu nzuri zaidi, hapo ndio unapotakiwa uangalie, processor nzuri yenye gpu nzuri.

hapa ndio zinakuja generation, nitazipanga kwa uzuri kuanzia juu kwenda chini.

-generation ya 8
-generation ya 7
-generation ya 6
-generation ya 4
-generation ya 5
-generarion ya 3
-generation ya 2

generation ya kwanza achana nayo, na ya nne ni nzuri kuliko ya 5 sababu hapo kulikuwa na transition kuanzia ya 5 mainstream zilitumia 15w badala ya 35w, hivyo cpu zinazotumia umeme mkubwa za 4th zina nguvu kuliko za umeme mdogo za 5th.

kuzijua hizo generation huanzia tu na maelfu ya namba ya generation

mfano cpu ya 8th itaanziwa na 8xxx ya 4 itaanziwa na 4xxx etc
Shukrani sana mkuu vp kuhusu video card kunauwezo wa kubadilisha na kuweka kubwa zaidi.
 
Ram na HDD ni muhimu lakini vinaongezeka, unaweza ukavitoa ukaeka vikubwa zaidi hivyo usiangalie sana hivi vitu kwenye ununuzi.

kwa games na software nyengine kubwa angalia sana cpu na gpu.

kwenye laptop kuna gpu za aina mbili
-gpu ya ndani inayokuja na processor (internal gpu)
-gpu ambayo ipo inakuja separate na processor (dedicated gpu)

laptop nzuri ni hizo zenye dedicated gpu lakini bei zake pia zimesimama nyingi zinazidi milioni

kutokana na kipato cha mtanzania tunajaribu kutafuta laptop yenye internal gpu nzuri zaidi, hapo ndio unapotakiwa uangalie, processor nzuri yenye gpu nzuri.

hapa ndio zinakuja generation, nitazipanga kwa uzuri kuanzia juu kwenda chini.

-generation ya 8
-generation ya 7
-generation ya 6
-generation ya 4
-generation ya 5
-generarion ya 3
-generation ya 2

generation ya kwanza achana nayo, na ya nne ni nzuri kuliko ya 5 sababu hapo kulikuwa na transition kuanzia ya 5 mainstream zilitumia 15w badala ya 35w, hivyo cpu zinazotumia umeme mkubwa za 4th zina nguvu kuliko za umeme mdogo za 5th.

kuzijua hizo generation huanzia tu na maelfu ya namba ya generation

mfano cpu ya 8th itaanziwa na 8xxx ya 4 itaanziwa na 4xxx etc
Ni PC gani yenye uwezo wa kucheza game la GTA V/5
 
Mkuu PC za bei rahisi kabisa ambazo unacheza games vizuri bila matatizo na kufanya mambo mengi ni zile zenye cpu za intel 4th generation i3/i5/i7

Hizi unazipata around 400,000 mpaka 600,000 used, unaweza pia kuzipata chini ya hapo ukitafuta.

Unaponunua pc usiangalie model, pc inaweza itwa jina fulani na ikawa na configuration tofauti. Angalia specs za ndani.
Naomba unisaidie mfano wa hizo pc kama itawezekana
 
Back
Top Bottom