mwanaMtata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2014
- 2,393
- 1,433
Mkubwa usihofu Mimi umbulula wangu Mambo Ya hardware specsmkuu kama unajiona huelewi elewi tumia games ambazo ni repack toka torrent kama vile za rgmechanics
game za repack ni rahisi sana kuzieka sababu mchakachuaji anakuwa tayari amebadili mpangilio wa mafile na kuueka anavyotaka yeye,
Game gani limegoma?Aisee baada ya magemu mazuri mazuri kukataa kucheza kwenye pc yangu nimepunguza sana,nimekwama sasa hivi kwa sababu nahitaji pc mpya ambayo itakizi mahitaji yangu. Tatizo ni sehemu ya kuijua na kuipata hiyo pc.
mwenye link ninayoweza download fifa 16 naomba
au fifa 15 au patch za fifa 14 latest
Nipe namba nianze na wewemkuu tengeneza kundi hiloo
50gb seriously???
Mkuu umetumwa nini. Mzigo ndo naupakua hapa fifa 15 sema si unaelewa mambo ya wifi za free inaenda mwendo wa kobe.
Nimelipata hapa oceanofgames.com
Hapana io 50GB ni frer space nikiopewa na mega50gb seriously???
duuuh nilitaka kushangaa,kama ni 6gb nitazimaliza usiku kwa bundle la airtelHapana io 50GB ni frer space nikiopewa na mega
Game lina 6.8GB
Gta V, need for speed rivals, n.kGame gani limegoma?
Hebu mu add na huyu jamaaNipe namba nianze na wewe
Mu add na huyu hapa 0712514004Hebu mu add na huyu jamaa
Jaribu kuinstall steamy alafu play from thereGta V, need for speed rivals, n.k
Kweli teknolojia imeanza kuniacha,steamy ndio nini mkuu?Jaribu kuinstall steamy alafu play from there
Something familiar na psn ama xbox liveKweli teknolojia imeanza kuniacha,steamy ndio nini mkuu?
50gb kwa speed hiyoo c utamaliza mwakan hapo ndugu tafuta halotel, duuh ila 50gb n kubwa aisee
Mkuu umetumwa nini. Mzigo ndo naupakua hapa fifa 15 sema si unaelewa mambo ya wifi za free inaenda mwendo wa kobe.
Nimelipata hapa oceanofgames.com