marregal
Member
- May 8, 2011
- 77
- 15
hellow fellaz,,, nina pc hapa ambayo nikiweka kwenye charge inareceive power na taa yake inawaka,, nikiwasha inawaka taa ya on tuu na fans vibrations zinasikika,, sasa tatizo ni kwamba ile screen haioneshi kitu kabisaa yaani nyeusi kama pc iliyozimwa na hakuna hata beep kuonesha kunaoperation inayotaka kutake place,, tusaidiane ,, tatizo laweza kuwa nini, and what should be done......
assistance hapo..
assistance hapo..