Nchi yetu pasipo kuwekeza kwenye Teknolojia hasa Telecom ipo siku tutapigwa kizembe sana tusipate hata network ya kujulishana kinachoendelea.
Tuendelee kuchekelea Jeshi kufungua Vituo vya mafuta, Viwanda vya kokoto na kujenga maduka ya frem. Viongozi wetu wawekeze kwenye Mega Project hasa kwenye Ujenzi wa Satelite za mawasiliano kutuokoa wakati wa shida