Paul Makonda, unaamini kuwa Rais Magufuli kamwe hachokozeki kwa maneno na matendo yako?

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Kujiamini sana kuna madhara makubwa. Kuamini kuwa umemshika na kumdhibiti Mkuu wako kuna pigo kuu. Rais hutumbua watu na kauli zao kutokana na kumchokoza. Kumchokoza huwaponza. Lilipotolewa tamko la kuwahamisha wamachinga kule Mwanza, Rais alichokozeka. Akaitengua kauli.

Waziri Mwakyembe alipotamka kuhusu vyeti vya ndoa, Rais alichokozeka na kauli yake ikatenguliwa. Mama Kilango aliposema 'uongo' kuhusu watumishi feki akatenguliwa. Ukimya wake ukamrejesha Bungeni. Wapo wengine wengi waliomchokoza Rais na wametumbuliwa.

Bwana Makonda wa Dar, umetoa kauli ya kwamba kila mwananchi wa Dar awe na kitambulisho ima cha ajira au cha ujasiriamali. Unajua kuwa kwa wengine, choka mbaya kutokana na Maisha kutofautiana, hawakijui hata kitambulisho wala kujua maana yake? Umekuwa ukifanya na kusema mambo mbalimbali ya kichokozi kwa Rais. Umekuwa ukichuniwa.

Unadhani na kuamini kuwa huwezi kumchokoza Rais Magufuli? Eti, kila mtu awe na kitambulisho. Hii ni kauli iliyosheheni dharau, kejeli na majivuno kwa wengine. Hii ni kauli ya kutojali wanaokuzunguka na kuamini kuwa ulichonacho wote wanacho. Chunga sna Makonda. Kalaghabaho!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa kuhudumia mashamba yangu)
 
Kuna wakati huwa najiuliza mh makonda ana kipi ambacho Mr president anashndwa kung'amua kuwa mkuu huyu wa mkoa anatoa kauli za kubeza raia na mkuu kakaa kimya wapo wengi walioponzwa na kauli zao wenyewe kwakutumbuliwa na Rais ama kauli zao kutenguliwa lakn huyu bwana yeye hata afanye baya lipi mkuu yupo kmya kwa hili mh makonda ajitathmin sana huyo anayemtegemea hatodumu milele wanasema NGOMA IKIVUMA SANA ............

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujiamini sana kuna madhara makubwa. Kuamini kuwa umemshika na kumdhibiti Mkuu wako kuna pigo kuu. Rais hutumbua watu na kauli zao kutokana na kumchokoza. Kumchokoza huwaponza. Lilipotolewa tamko la kuwahamisha wamachinga kule Mwanza, Rais alichokozeka. Akaitengua kauli.

Waziri Mwakyembe alipotamka kuhusu vyeti vya ndoa, Rais alichokozeka na kauli yake ikatenguliwa. Mama Kilango aliposema 'uongo' kuhusu watumishi feki akatenguliwa. Ukimya wake ukamrejesha Bungeni. Wapo wengine wengi waliomchokoza Rais na wametumbuliwa.

Bwana Makonda wa Dar, umetoa kauli ya kwamba kila mwananchi wa Dar awe na kitambulisho ima cha ajira au cha ujasiriamali. Unajua kuwa kwa wengine, choka mbaya kutokana na Maisha kutofautiana, hawakijui hata kitambulisho wala kujua maana yake? Umekuwa ukifanya na kusema mambo mbalimbali ya kichokozi kwa Rais. Umekuwa ukichuniwa.

Unadhani na kuamini kuwa huwezi kumchokoza Rais Magufuli? Eti, kila mtu awe na kitambulisho. Hii ni kauli iliyosheheni dharau, kejeli na majivuno kwa wengine. Hii ni kauli ya kutojali wanaokuzunguka na kuamini kuwa ulichonacho wote wanacho. Chunga sna Makonda. Kalaghabaho!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa kuhudumia mashamba yangu)
mkuu... watumia hirizi huwa wanasema "hirizi hata ikianza kunuka kama mavi huwa inapigwa busu tu...haitupwi"!!
 
Kujiamini sana kuna madhara makubwa. Kuamini kuwa umemshika na kumdhibiti Mkuu wako kuna pigo kuu. Rais hutumbua watu na kauli zao kutokana na kumchokoza. Kumchokoza huwaponza. Lilipotolewa tamko la kuwahamisha wamachinga kule Mwanza, Rais alichokozeka. Akaitengua kauli.

Waziri Mwakyembe alipotamka kuhusu vyeti vya ndoa, Rais alichokozeka na kauli yake ikatenguliwa. Mama Kilango aliposema 'uongo' kuhusu watumishi feki akatenguliwa. Ukimya wake ukamrejesha Bungeni. Wapo wengine wengi waliomchokoza Rais na wametumbuliwa.

Bwana Makonda wa Dar, umetoa kauli ya kwamba kila mwananchi wa Dar awe na kitambulisho ima cha ajira au cha ujasiriamali. Unajua kuwa kwa wengine, choka mbaya kutokana na Maisha kutofautiana, hawakijui hata kitambulisho wala kujua maana yake? Umekuwa ukifanya na kusema mambo mbalimbali ya kichokozi kwa Rais. Umekuwa ukichuniwa.

Unadhani na kuamini kuwa huwezi kumchokoza Rais Magufuli? Eti, kila mtu awe na kitambulisho. Hii ni kauli iliyosheheni dharau, kejeli na majivuno kwa wengine. Hii ni kauli ya kutojali wanaokuzunguka na kuamini kuwa ulichonacho wote wanacho. Chunga sna Makonda. Kalaghabaho!

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa kuhudumia mashamba yangu)
Mkuu, ZERO Brain ya Bashite inajidhihiri waziwazi..
Jambo pekee alilowahi kulifanya kwa ufanisi ni KUTEKA.
 
Back
Top Bottom