DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mgombea Ubunge wa Arusha Mjini kupitia CCM, Paul Makonda amesema kuwa ni aibu kubwa kwa jiji kubwa kama Arusha kutokuwa na stendi ya kisasa. Amesisitiza kuwa jambo hilo linapaswa kushughulikiwa haraka ili kuboresha usafiri na hadhi ya jiji.
“Arusha ni lango la utalii wa Tanzania, haiwezekani wageni na wananchi wetu wakakosa stendi yenye viwango vya kimataifa. Tutapambana kuhakikisha jiji letu linapata stendi bora inayostahili hadhi yake,” alisema Makonda.
“Arusha ni lango la utalii wa Tanzania, haiwezekani wageni na wananchi wetu wakakosa stendi yenye viwango vya kimataifa. Tutapambana kuhakikisha jiji letu linapata stendi bora inayostahili hadhi yake,” alisema Makonda.
Pia Soma: GE2025 - Makonda: Nikishinda Ubunge ntamleta Schwarzenegger mwaka mpya Arusha