Nimejaribu kumfuatilia huyu bwana sidhani kama anafanya kazi zake kwa weledi inaonekana ni mtu wa kukurupuka tu bila mpango wowote. naamini angekuwa nje ya DAR sidahani kama angeweza kuongoza.
Dar ina mbeba kozi serikali yote iko hapa, raisi yupo hapa, wakuu wa wilaya wanafanya kazi zao vizuri,vyombo vya usalama viko makini na kikubwa zaidi raia wa DAR wanajitambua hawapelekwi kama ng'ombe.
mipango ya hovyo ya makonda iliyofail
1.DAR mpya
2.Mti wangu
3.Kampeni ya tezi dume.
4.msaada wa kisheria kwa akina mama juu ya miradhi .
5.Akina baba waliotelekeza.
6.Yard za magari kuhamia kigamboni
7. Ushindi kwa taifa stars.
8.Kampeni ya usafi dar es salaamu hadi mgambo wakawa wanapiga raia.
mi ndo nimeona ivo kama kuna jambo kafanikisha mnitajie ambalo wakuu wengine wa mkoa Dar liliwashinda
Dar ina mbeba kozi serikali yote iko hapa, raisi yupo hapa, wakuu wa wilaya wanafanya kazi zao vizuri,vyombo vya usalama viko makini na kikubwa zaidi raia wa DAR wanajitambua hawapelekwi kama ng'ombe.
mipango ya hovyo ya makonda iliyofail
1.DAR mpya
2.Mti wangu
3.Kampeni ya tezi dume.
4.msaada wa kisheria kwa akina mama juu ya miradhi .
5.Akina baba waliotelekeza.
6.Yard za magari kuhamia kigamboni
7. Ushindi kwa taifa stars.
8.Kampeni ya usafi dar es salaamu hadi mgambo wakawa wanapiga raia.
mi ndo nimeona ivo kama kuna jambo kafanikisha mnitajie ambalo wakuu wengine wa mkoa Dar liliwashinda