ISIS
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 96,073
- 858,529
Kwa mambo yanavyoenda humu mitandaoni, sintochangia mpaka nimzikie Makonda amekiri ni waraka wake. Tumeona fake posting nyingi sana.Sijasoma lakini bila shaka mkolomije kaandikiwa
soma uone chadema inavyoteketea
Usaliti mnao wenyewe 'wazalendo'. Sheria na mikataba mibovu mlipitisha, mnapitisha na mnapanga kupitisha mengine, WENYEWE kwa bunge lenu dhaifu.Sio siasa, Lissu kaanza tena usaliti!
Uko sahihi kbs,kingine nilichogundua ni kwamba walimtia ndan mbowe ili Lissu awai kurudi watimize waloyapanga nadhan wamefail pia!Sijasoma lakini bila shaka mkolomije kaandikiwa
even if you dont want to but message is sent , delivered and receivedOne needs not to read this rubish!
Sasa asiporudi huo ubunge ataufanyia huko ulaya? Ni lazima arudi kama bado analilia ubunge, hana namna.anamtega Lissu arudi bongo amalize kazi
lazima utapike , unadhani kusoma kinyaa anachofanya lissu hakuleti matapaishiSijui ni kwanini lakini nimefika katikati nusu nitapike