sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,896
- 5,302
A.K.A Baba Keagan.......Mustapha Shahazade the son, heir of Sultan frasturesheni, Jiwe the Kichaa.
A.K.A Baba Keagan.......Mustapha Shahazade the son, heir of Sultan frasturesheni, Jiwe the Kichaa.
Ubashite wake unauza habari aisee!Huyu jamaa ni jembe, walisusia habari zake, na akagoma kuomba msamaha kwa kuwatamkia live, lakini wao ndo wanahangaika kutafuta habari zake.
Mimi ambacho sielewi hadi sasa ni kwanini mtu kaleta mali tofauti na alizo declare lakn bado anatamba hadi sasa?
Yaan Na Wewe unaamini Yale Matrekta yakiyokuwa yanasambaa kwenye Mitandao?
Ombaomba kwenda Dodoma ni kurudi nyumbani sio kuhamia.Majority ya hawa watu ni wa huko Dar wamekuja tu kukusanya ushuru.Mnaacha kumuuliza ombaomba watahamia lini Dodoma mnauliza mambo ya udaku...hata mimi namuunga mkono. Na sio ombaomba tu, idara nyingi tu zinapaswa kuhama
Kwenye hili Makonda kafanya jambo la kupongezwa....mnataka kuulizia mambo ya kijinga kijinga acha mkome...Huyu dogo ni Sikio la Kufa, kamwe haliwezi sikia dawa! Bado ni Jeuri na mwenye Maringo saana! 'Kweli, Ukiona Imbwa ipo Juu ya Mti Ujue kuna Mtu kaipandisha'-Seseseko!
Upuuzi wote anaofanya Makonda mi naanza kufikiri anaandamwa bure tu...anayoyafanya ni uchafu wa Jiwe, yeye ni wakala wa shetani tu basiView attachment 865750
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, jana wakati akihojiwa na Mwananchi juu ya Kauli za Viongozi Wakuu wa Chama na Serikali dhidi yake, alikataa kujibu swali hilo na kukata siku baada ya kujibu kuwa: Yaani unanunua vocha na kupoteza muda wako kutaka tujadili hilo?!
View attachment 865757
View attachment 865758
Duh....kesha kuwa Professor tayari......Professor Paul Makonda Sio wa kushindana nae
Sio hoja kwamba viongozi walishindwa kulipa kodi huko nyuma!!! Hapa issue ni jinsi makonda ambavyo hakufuata maadili!!! Kawatisha TRA, waziri wa fedha pia kamdhalilisha Rais binafsi. Pia katoa taarifa za uwongo!! Ni jinai.Ni kweli, Jamaa ni Jasiri haswa.
Baadhi ya watu bado wanachuki naye baada ya kuwataja waliodhaniwa kujihusisha na madawa ya kulevya.
Ile chuki bado inaendelea, akifanya kosa kidogo ya mahali flani ile chuki inalipuka tena na tena.
Kushindwa kulipia kodi bidhaa bandalini sio kosa la jinai, viongozi wengi huko nyuma walishindwa kukomboa mali zao bandalini na zilipigwa mnada kimya kimya bila mgogoro wowote.
Sema yale madawa bwana bado yanakumbukwa, bado yanaumiza wengi, na bado yatasumbua sana na kumsumbua sana Makonda.
Yale madawa ya Kulevya.
Jamani tuwe wakweli kama Mama kilango aliwajibishwa kwa kusema kwamba mkoani kwake hakuna watumishi hewa .Na hili la mh.Makonda lipi lina ukakasi? Let's be honesty to ourselves. Rais hasaidiwe kuambiwa ukweli but in a very polite manner! Kwamba kuna mambo yanaleta ukakasi!! Double standards za nini? Unatugawaaaaaa!!! Aambiwe!! Ni wajibu wetu kufanya hivyo!! We all want a better and greater Tanzania!!Sio hoja kwamba viongozi walishindwa kulipa kodi huko nyuma!!! Hapa issue ni jinsi makonda ambavyo hakufuata maadili!!! Kawatisha TRA, waziri wa fedha pia kamdhalilisha Rais binafsi. Pia katoa taarifa za uwongo!! Ni jinai.
Madawa ya kulevya tena? Huo mpango uliotumika mchafu wa kujisafisha yeye na baba yake kisiasa ndo unaomfanya mwijiri wake akose nafasi ya maamuzi juu yakeNi kweli, Jamaa ni Jasiri haswa.
Baadhi ya watu bado wanachuki naye baada ya kuwataja waliodhaniwa kujihusisha na madawa ya kulevya.
Ile chuki bado inaendelea, akifanya kosa kidogo ya mahali flani ile chuki inalipuka tena na tena.
Kushindwa kulipia kodi bidhaa bandalini sio kosa la jinai, viongozi wengi huko nyuma walishindwa kukomboa mali zao bandalini na zilipigwa mnada kimya kimya bila mgogoro wowote.
Sema yale madawa bwana bado yanakumbukwa, bado yanaumiza wengi, na bado yatasumbua sana na kumsumbua sana Makonda.
Yale madawa ya Kulevya.
Omba omba watahamia Dodoma baada ya kontena lao kufikaMnaacha kumuuliza ombaomba watahamia lini Dodoma mnauliza mambo ya udaku...hata mimi namuunga mkono. Na sio ombaomba tu, idara nyingi tu zinapaswa kuhama
Mhaya akisoma husoma kweli, na akiwa mjinga huwa mjinga kweli kweliKwenye hili Makonda kafanya jambo la kupongezwa....mnataka kuulizia mambo ya kijinga kijinga acha mkome...
We mgogo, sio bandalini ni bandarini.Ni kweli, Jamaa ni Jasiri haswa.
Baadhi ya watu bado wanachuki naye baada ya kuwataja waliodhaniwa kujihusisha na madawa ya kulevya.
Ile chuki bado inaendelea, akifanya kosa kidogo ya mahali flani ile chuki inalipuka tena na tena.
Kushindwa kulipia kodi bidhaa bandalini sio kosa la jinai, viongozi wengi huko nyuma walishindwa kukomboa mali zao bandalini na zilipigwa mnada kimya kimya bila mgogoro wowote.
Sema yale madawa bwana bado yanakumbukwa, bado yanaumiza wengi, na bado yatasumbua sana na kumsumbua sana Makonda.
Yale madawa ya Kulevya.
Paulo MakontenaProfessor Paul Makonda Sio wa kushindana nae