Daimler
JF-Expert Member
- Sep 11, 2018
- 556
- 973
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
His excellence the Head of.........Professor Paul Makonda Sio wa kushindana nae
Kwani yeye anahusikaje na watu kuhamaMnaacha kumuuliza ombaomba watahamia lini Dodoma mnauliza mambo ya udaku...hata mimi namuunga mkono. Na sio ombaomba tu, idara nyingi tu zinapaswa kuhama
His excellence the Head of.........
Zikihama hizo idara hao ombaomba wanafaidika nini?Badala ya na wewe kuomba mwanachi wamuulize kuwa ombaomba wanaishaje jijini,wewe unaonekana unataka wahamie dodoma.Inaonesha akili yako na Bashite zinafikiria sawa.Mnaacha kumuuliza ombaomba watahamia lini Dodoma mnauliza mambo ya udaku...hata mimi namuunga mkono. Na sio ombaomba tu, idara nyingi tu zinapaswa kuhama
Dogo bado ana jeuri sana aseeHuyu dogo ni Sikio la Kufa, kamwe haliwezi sikia dawa! Bado ni Jeuri na mwenye Maringo saana! 'Kweli, Ukiona Imbwa ipo Juu ya Mti Ujue kuna Mtu kaipandisha'-Seseseko!
Utajiumiza mishipa ya koo bure kubishana na sanamu hali ya kwamba mmepishana maudhui. Siku nyingine ukiona emoji zimesindikiza ujumbe, tafakari kusudio la mwandishi.Zikihama hizo idara hao ombaomba wanafaidika nini?Badala ya na wewe kuomba mwanachi wamuulize kuwa ombaomba wanaishaje jijini,wewe unaonekana unataka wahamie dodoma.Inaonesha akili yako na Bashite zinafikiria sawa.
Ni kweli, Jamaa ni Jasiri haswa.Huyu jamaa ni jembe, walisusia habari zake, na akagoma kuomba msamaha kwa kuwatamkia live, lakini wao ndo wanahangaika kutafuta habari zake.
Sawa bro.ndo maana nikaona kama unaakili sawa na mtu asiye na cheti.kama sikukuelewa basi, sorry.Utajiumiza mishipa ya koo bure kubishana na sanamu hali ya kwamba mmepishana maudhui. Siku nyingine ukiona emoji zimesindikiza ujumbe, tafakari kusudio la mwandishi.
Bashite hahusiki na kuhamisha idara yeyote kwenda Dodoma, ungewaza tu hilo usingekuwa na haja ya kunikurupukia.
Kweli mkuu, chukulia mpaka waziri eti anakwenda bandarini, wakati kwenye makinikia hakwenda.Ni kweli, Jamaa ni Jasiri haswa.
Baadhi ya watu bado wanachuki naye baada ya kuwataja waliodhaniwa kujihusisha na madawa ya kulevya.
Ile chuki bado inaendelea, akifanya kosa kidogo ya mahali flani ile chuki inalipuka tena na tena.
Kushindwa kulipia kodi bidhaa bandalini sio kosa la jinai, viongozi wengi huko nyuma walishindwa kukomboa mali zao bandalini na zilipigwa mnada kimya kimya bila mgogoro wowote.
Sema yale madawa bwana bado yanakumbukwa, bado yanaumiza wengi, na bado yatasumbua sana na kumsumbua sana Makonda.
Yale madawa ya Kulevya.
He he he, alianza Prof Lipumba tukajua ni bogus, akaja Prof Ossoro tuajua ni rubbish maana hata Trilioni 450 ni uongo, akajitokeza Prof Kabudi hapo tumeona uchapiaji, eti Magu anaweza kukaa na mama Janet wakatunga sheria! huu ni uboza.Professor Paul Makonda Sio wa kushindana nae
Hovyo Kabisa huyu Dogo!Dogo bado ana jeuri sana asee