Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 36,357
- 23,760
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na kupewa kibali na Mungu. Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Wa kaskazini Paul Makonda anapendwa , kukubalika na kuaminika sana. Huyu Mwamba ni balaa kwelikweli,upepo wake siyo wa Kawaida. Akipita sehemu utafikiri Mfalme kapita au Nabii Jangwani.
Mwamba Amejikuta akigeuka kivutio na akipata wakati Mgumu kwelikweli katika Viwanja vya Bunge .pale ambapo watu mbalimbali walipoanza kupigana vikumbo na kung'ang'aniana kutaka kuwahi kupiga naye picha za ukumbusho katika Simu zao.
Ilikuwa anapiga picha na huyu huku wengine wakiwa pembeni wakisubiri nao wapige naye picha. Ilifika hatua Watu wakawa wanaamua kumzunguka tu kila eneo ili wasije wakakosa fursa ya kupiga naye picha .Maana ikawa ni kama wanaona watakosa nafasi ya kupata naye picha.
Kwa hakika huyu Mwamba kuna kusudi kubwa ambalo Mungu analo juu yake na juu ya Taifa letu kwa siku zijazo. Maana siyo kwa kupendwa na kukubalika huku. Yaani kuna wabunge makumi kwa Mamia lakini watu wanajikuta wanakusanyika na kumzunguka yeye tu ili kupata picha ya pamoja.
Nyota njema huonekana asubuhi. Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ni Nyota ing'aayo. Huwezi kumzuia Huyu Mwamba kupendwa na watu. Unaweza mchafua,kumsema vibaya ,kumsingizia na kumzushia uongo wa kila aina uwezavyo lakini huwezi kuondoa upendo walionao watu kwake.
Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Yaani unavyomchukia ndivyo anavyopaa zaidi kama Ndege vita vile za Mmarekani. Yaani Huyu Mwamba ni Mwamba kwelikweliiiiiii.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa hakika usishindane na aliyebarikiwa na kupewa kibali na Mungu. Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Wa kaskazini Paul Makonda anapendwa , kukubalika na kuaminika sana. Huyu Mwamba ni balaa kwelikweli,upepo wake siyo wa Kawaida. Akipita sehemu utafikiri Mfalme kapita au Nabii Jangwani.
Mwamba Amejikuta akigeuka kivutio na akipata wakati Mgumu kwelikweli katika Viwanja vya Bunge .pale ambapo watu mbalimbali walipoanza kupigana vikumbo na kung'ang'aniana kutaka kuwahi kupiga naye picha za ukumbusho katika Simu zao.
Ilikuwa anapiga picha na huyu huku wengine wakiwa pembeni wakisubiri nao wapige naye picha. Ilifika hatua Watu wakawa wanaamua kumzunguka tu kila eneo ili wasije wakakosa fursa ya kupiga naye picha .Maana ikawa ni kama wanaona watakosa nafasi ya kupata naye picha.
Kwa hakika huyu Mwamba kuna kusudi kubwa ambalo Mungu analo juu yake na juu ya Taifa letu kwa siku zijazo. Maana siyo kwa kupendwa na kukubalika huku. Yaani kuna wabunge makumi kwa Mamia lakini watu wanajikuta wanakusanyika na kumzunguka yeye tu ili kupata picha ya pamoja.
Nyota njema huonekana asubuhi. Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Paul Makonda ni Nyota ing'aayo. Huwezi kumzuia Huyu Mwamba kupendwa na watu. Unaweza mchafua,kumsema vibaya ,kumsingizia na kumzushia uongo wa kila aina uwezavyo lakini huwezi kuondoa upendo walionao watu kwake.
Kwa hakika Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda ni Mpango wa Mungu Mwenyewe. Yaani unavyomchukia ndivyo anavyopaa zaidi kama Ndege vita vile za Mmarekani. Yaani Huyu Mwamba ni Mwamba kwelikweliiiiiii.
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.