Nafikiri kuwa ili kuondoa non-sense zinazoendelea ktk nchi nyingi za Afrika, mtazamo wa Kagame ni sahihi kabisa. Tunahitaji maendeleo, na dikteta ambaye atatusaidia kuyapata hayo maendeleo ni bora kuliko kuendelea kukaa na 'uswahili" usiokwisha na maneno tele bila maendeleo.
Namsifu Kagame kwa kuweza kutumia strength yake ya kupanga mikakati ya kijeshi kuhakikisha Rwanda inaendelea kusonga mbele kimaendeleo tena kwa mkono wa chuma.Hataki kulea rushwa na wapinga maendeleo kwa kigezo cha demokrasia.Mbona hata Putin anafanya hivyo na Rusia imeweza kurudi taratibu pale inapotaka kuwa?
Nchi yetu hii tunapenda wapiga hadithi kuliko watekelezaji sasa tumekwama.Mambo hayaendi.Kila siku sound nyingi bila utekelezaji.
Pengine sijaifahamu vizuri Rwanda, lakini nahisi tuna utajiri mkubwa kuliko wao. Sidhani kama wana mali nyingi tulizonazo kama dhahabu, gas asilia, vito, bandari etc? Mara nyingine ili mambo yaende tunahitaji mtu kama Kagame.Demokrasia inayodhidi kutupeleka kwenye umaskini haitatusaidia mana tutaishia kupigana bila sababu.Imetuzalia ufisadi na rushwa isiyokwisha.
Lakini hata JK ni askari..tumpe muda atumie uzoefu wa kupanga mikakati ya kijeshi kutuletea maendeleo. Tatizo ni mpaka lini tutamsubiri?
Kazi kwelikweli
quote=SOPHIST;416972]Nadhani ni muhimu kuelewa kuwa fursa haisubiriwi itokee kutoka kwa akina fulani..,bali hutengenezwa. Dola letu ni chaka la wazembe! Mathalani, fikiria zipo fursa kiasi gani iwapo serikali itaweka sheria ya kutaka kila mikataba yote ya biashara na uwekezaji, ikiwa ni pamoja na nyaraka rasmi \(pamoja na sheria) ziandaliwe/zitafsiriwe kwa ligha ya Kiswahili. Hiyo si fursa tosha Mama?
WomanofSubstance said:Inategemea kwa wakati huo uko wapi.Wakati kundi linaweza kuonekana ni terrorists na upande mmoja, kundi hilohilo ukiwa upande wa pili linaonekana ni wapigania haki/uhuru.
Likewise bila kuangalia mengine, Kagame anaweza kuonekana role model kwa jinsi anavyoisukuma nchi yake ielekee kwenye maendeleo.
Nafikiri kuwa ili kuondoa non-sense zinazoendelea ktk nchi nyingi za Afrika, mtazamo wa Kagame ni sahihi kabisa. Tunahitaji maendeleo, na dikteta ambaye atatusaidia kuyapata hayo maendeleo ni bora kuliko kuendelea kukaa na 'uswahili" usiokwisha na maneno tele bila maendeleo.
Namsifu Kagame kwa kuweza kutumia strength yake ya kupanga mikakati ya kijeshi kuhakikisha Rwanda inaendelea kusonga mbele kimaendeleo tena kwa mkono wa chuma.Hataki kulea rushwa na wapinga maendeleo kwa kigezo cha demokrasia.Mbona hata Putin anafanya hivyo na Rusia imeweza kurudi taratibu pale inapotaka kuwa?
Nchi yetu hii tunapenda wapiga hadithi kuliko watekelezaji sasa tumekwama.Mambo hayaendi.Kila siku sound nyingi bila utekelezaji.
Pengine sijaifahamu vizuri Rwanda, lakini nahisi tuna utajiri mkubwa kuliko wao. Sidhani kama wana mali nyingi tulizonazo kama dhahabu, gas asilia, vito, bandari etc? Mara nyingine ili mambo yaende tunahitaji mtu kama Kagame.Demokrasia inayodhidi kutupeleka kwenye umaskini haitatusaidia mana tutaishia kupigana bila sababu.Imetuzalia ufisadi na rushwa isiyokwisha.
Lakini hata JK ni askari..tumpe muda atumie uzoefu wa kupanga mikakati ya kijeshi kutuletea maendeleo. Tatizo ni mpaka lini tutamsubiri?
Kazi kwelikweli
Nimekuwa nikijaribu kufuatilia habari za huyu mtu anayeitwa Paul Kagame, rais wa Rwanda. Habari nilizopata hivi karibu ni kuwa huyu ndiye rais pekee wa Afrika anayefanya kazi ya kuendeleza nchi kwa mtazamo wa mbali sana. Nimeambiwa anafanya maajabu makubwa sana. Kwamba Rwanda hakuna ufisadi na hata rushwa ndogo ndogo za kijinga zinaelekea ukingoni. Mbali ya hayo jamaa anasisitiza uwajibikaji katika utumishi wa umma. Je, ni kweli anastahili kuwa role model ya viongozi wa Afrika??
..kuna mambo fulani ukiyafanya ktk jamii yanaweza ku-overide mazuri yote uliyoyafanya ktk maisha yako.
..mfano: muuza madawa ya kulevya hawezi kuwa role model hata kama atatumia baadhi ya fedha zake kujenga zahanati.
..kwa hali hiyo hiyo Kagame,Kabarebe,na Nkunda, wamehusika na vifo vya wananchi wasio na hatia DRC.
..wako viongozi wa Kiafrika wa kupigiwa mfano kama Maraisi wa Mauritius,Seycheles,Namibia,Botswana, lakini siyo hawa waliotapakaa damu kwenye miili yao kama Kagame.
NB:
..Tanzania tuna eneo kubwa sana na watu wengi, hivyo challenges za uongozi na utawala za Tanzania, ni tofauti kabisa na zile za Rwanda.
Sasa unataka kusema sababu za kushindwa kwetu challenges blah blah blah...??? CCM wanafurahi kweli wakisikia haya..............!!!
Tukabali tusikubali Kagame anafanya kazi na ana vision kuliko viongozi wetu wabinafsi. Sasa wewe unataka kusema mtu mtumia madawa, akiuwa hawezi kwenda mbinguni hata kama akitubu na kuongoka (kama tuaminivyo sis wenye dini)?? Anyway, mwezetu ulitaka wahutu wawamalize watutsi?? Hiyo Namibia imekombolewa kwa kumwaga damu sasa sijui hao akina Nuyoma na Pohamba nao wako kwenye nafasi gani???
Ameua Opposition na Civil Society!
Kuna a lot of resentment over him!
Anaongoza kwa 'Either on our way or or against us!
Wengi wana hofu kubwa..sema hakuna anayedhubutu kuongea!
May be tunahitaji mtu kama huu Tz!
Zero said:Sasa unataka kusema sababu za kushindwa kwetu challenges blah blah blah...??? CCM wanafurahi kweli wakisikia haya..............!!!
Tukabali tusikubali Kagame anafanya kazi na ana vision kuliko viongozi wetu wabinafsi. Sasa wewe unataka kusema mtu mtumia madawa, akiuwa hawezi kwenda mbinguni hata kama akitubu na kuongoka (kama tuaminivyo sis wenye dini)?? Anyway, mwezetu ulitaka wahutu wawamalize watutsi?? Hiyo Namibia imekombolewa kwa kumwaga damu sasa sijui hao akina Nuyoma na Pohamba nao wako kwenye nafasi gani???
zero,
..kuna nchi ambazo tunashabihiana nazo kidogo kwa ukubwa wa eneo na idadi ya watu. Ghana na mozambique ni kati ya nchi hizo.
..sikuwa na nia ya kuwapa ccm visingizio vya kushindwa kazi. Frelimo, ambao wamelelewa na tanu na ccm, wameweza kurekebisha uchumi wao kwa haraka sana baada ya kuhujumiwa na makaburu na vibaraka wao wa renamo. Sasa kwanini ccm wameshindwa pamoja na amani na rasilimali zote tulizonazo?
..mauritius na seychelles wanalingana lingana na rwanda. Viongozi wao wameweza kuinua uchumi na hali ya maisha ya wananchi wao, tena hawana rekodi chafu za mauaji kama aliyonayo kagame. Kwanini tusiwakubali hao kama role models, badala yake tunamng'ang'ania muuaji-nduli-kagame??
Nb:
..kwani kagame ametubu kuhusu kuhusika kwake na vifo vya wa-congo zaidi ya milioni 3?
..kama ametubu na ameokoka basi ni vizuri "akapumzishwa" kwenye selo ya wauaji wanaofanana naye kama charles taylor, general mosquito wa sierra leone, wakati akisubiri safari yake kuelekea "akhera."
..kuna tofauti kubwa sana kati ya vita vya ukombozi wa namibia na mauaji ya kinyama ya wananchi wa congo yaliyofanywa na vikosi vya jeshi la kagame.
Full name: Republic of Rwanda
Population: 10 million (UN, 2008)
Capital: Kigali
Area: 26,338 sq km (10,169 sq miles)
Major languages: Kinyarwanda (official), French (official), English (official), Swahili
Major religions: Christianity, indigenous beliefs
Life expectancy: 45 years (men), 48 years (women) (UN)
Monetary unit: 1 Rwandan franc = 100 centimes
Main exports: Coffee, tea, hides, tin ore
GNI per capita: US $320 (World Bank, 2007)
Full name: United Republic of Tanzania
Population: 41.5 million (UN, 2008)
Capital: Dodoma (official), Dar es Salaam (commercial)
Largest city: Dar es Salaam
Area: 945,087 sq km (364,900 sq miles)
Major languages: English, Swahili
Major religions: Christianity, Islam
Life expectancy: 51 years (men), 54 years (women) (UN)
Monetary unit: 1 Tanzanian shilling = 100 cents
Main exports: Sisal, cloves, coffee, cotton, cashew nuts, minerals, tobacco
GNI per capita: US $400 (World Bank, 2007)