didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 2,087
- 3,547
Tunafanyaje sasa mkuu?Cheo kikubwaaa kumbe ni waizi wa haki za wananchi kuchagua viongozi wawatakao!
Time hii wameumbuka
NRNE 💪 🔥
Tunatokaje hapa sasa?Kushiriki uchaguzi katika mazingira haya ni upumbavu uliokomaa
Duuh hadi jwJambazi la kuiba kuku na DGIS kwasasa hakuna tofauti ni wahalifu kama wahalifu wengine tu wasio tahiriwa. Haiwezekani wizi kila Kona nchi inauzwa na Malaya wao wanaangalia tu. Hakuna TISS wala jwtz wote ni wasaliti na wauaji wa raia sawa na polisi na magereza.
Tuhakikishe uchaguzi batili haufanyikiTunafanyaje sasa mkuu?
Kapilimba, PhD kabla ya kua DGIS alikua mkurugenzi NIDA then 2019 akatolewa. Sasa hivi tetesi na duru zinaonyesha James Kaji ndo anakua next DGIS na ikumbukwe huyu jamaa alikua mkurugenzi pale NIDA pia. Kwa wataalam wa pattern naomba muje mutuchoree.
NIDA + NEC + CCM = DUDE la kuibia kuraKapilimba, PhD kabla ya kua DGIS alikua mkurugenzi NIDA then 2019 akatolewa. Sasa hivi tetesi na duru zinaonyesha James Kaji ndo anakua next DGIS na ikumbukwe huyu jamaa alikua mkurugenzi pale NIDA pia. Kwa wataalam wa pattern naomba muje mutuchoree.