Huyu anatangaza live.
Maoni yenu.
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA ambaye hivi karibuni alikihama chama hicho na kuhamia CCM Patrobas Katambi amejitokeza kwa mara ya kwanza na kueleza udhaifu mkubwa wa kiuongozi uliopo ndani ya vyama vya siasa hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Patrobas amesema, vyama vingi vya siasa vya upinzani vimekuwa mali ya wenyeviti wa vyama hivyo na kueleza kuwa haviwezi kusonga mbele kutokana na mwenendo wa vyama hivyo.
Katambi amesema kuwa vyama vya siasa vya upinzani, vimekuwa vikifuja fedha za ruzuku na mara zote vimekuwa vikipata hati chafu katika matumizi yao ya ruzuku na fedha nyingine za chama.
Mwanasiasa huyo machachari amesema, alimua kutoka-CHADEMA kutokana na kupotea kwa ajenda na hoja za msingi na kusema kuwa wote waliobakia katika vyama vya upinzani wananufaika na mfumo uliopo.
Huyu anatangaza live.
Maoni yenu.
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Baraza la vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA ambaye hivi karibuni alikihama chama hicho na kuhamia CCM Patrobas Katambi amejitokeza kwa mara ya kwanza na kueleza udhaifu mkubwa wa kiuongozi uliopo ndani ya vyama vya siasa hapa nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari Jijini Dar es salaam Patrobas amesema, vyama vingi vya siasa vya upinzani vimekuwa mali ya wenyeviti wa vyama hivyo na kueleza kuwa haviwezi kusonga mbele kutokana na mwenendo wa vyama hivyo.
Katambi amesema kuwa vyama vya siasa vya upinzani, vimekuwa vikifuja fedha za ruzuku na mara zote vimekuwa vikipata hati chafu katika matumizi yao ya ruzuku na fedha nyingine za chama.
Mwanasiasa huyo machachari amesema, alimua kutoka-CHADEMA kutokana na kupotea kwa ajenda na hoja za msingi na kusema kuwa wote waliobakia katika vyama vya upinzani wananufaika na mfumo uliopo.
SHIDA YAKE KUFUNIKA MSIBA WA KINGUNGEHoja yake ni nini hasa? Kipi kipya ambacho anaongea?
Anajiondoa mara ngapi??
Ha ha ha ha dogo kaondoka akaona amelipwa milioni 5 badala ya 30 walizomuahidi kupitia Juliana Shonza kaanza kutapatapa.
Sasa kapotea kwenye "Media",naona kaamua kutafuta tukio ili arudi tena midomoni mwa watu.Amekosea sana timing,leo ni kifo cha Mzee Ngombale na kesho ndio kitapamba kurasa za mbele
Huyu soon atakuwa reject. Mipasho kama muimba taarabuKwahiyo alitaka wamrithi na mke? Huyu dogo vipi?
Kwahiyo alitaka wamrithi na mke? Huyu dogo vipi?
Atakuwa anatimiliza contractHuyu soon atakuwa reject. Mipasho kama muimba taarabu