December 08, 2019
Dar -Es-Salaam, Tanzania
Mh. Patrick Ole Sosopi akihutubia Baraza Tendaji la Vijana wa CHADEMA
Akitoa hotuba iliyoteka hisia za wasikilizaji amewataka Vijana wa CHADEMA ambao amesema ndiyo BARAZA KIVULI LA VIJANA WOTE TANZANIA tofauti na UVCCM ambao ni wasemaji wa makada wa CCM tu.
Hivyo vijana wa CHADEMA kwa nafasi hiyo inabidi wanapotoa matamko na kujibu maswali lazima waonekane tofauti maana taifa zima la vijana wa Kitanzania wanawategemea
Source: Chadema Media TV
Dar -Es-Salaam, Tanzania
Mh. Patrick Ole Sosopi akihutubia Baraza Tendaji la Vijana wa CHADEMA
Akitoa hotuba iliyoteka hisia za wasikilizaji amewataka Vijana wa CHADEMA ambao amesema ndiyo BARAZA KIVULI LA VIJANA WOTE TANZANIA tofauti na UVCCM ambao ni wasemaji wa makada wa CCM tu.
Hivyo vijana wa CHADEMA kwa nafasi hiyo inabidi wanapotoa matamko na kujibu maswali lazima waonekane tofauti maana taifa zima la vijana wa Kitanzania wanawategemea
Source: Chadema Media TV