Hizo ni picha utakapokuwa umefanikiwa poweramp yako itaonekana hivo,.
Kuchelewa ni ubovu wa network
Hatua ya kwanza unatakiwa kuwa umeroot simu yako maana Lucky Patcher inasupport kwa simu ambayo iko rooted
Download powerAmp full version unlocker v2.0.10
Download poweramp yako(trial) kutoka playstore, ifungue.
Download Lucky Patcher baada ya hapo twende pamoja sasa kwa maelezo kidogo na picha
1.fungua lucky patcher yako
itaonekana hivi, na utaclick hiyo poweramp ukishaclick itaonekana hivi
Click hapo custom patch na itaonekana hivi
click huo msatari wa mwisho itaonekana hivi
Click OK itaonekana hivi
Baada ya kumaliza itakuletea hivi
Launch na itaonekana hivi
Rudi katika menu ya simu yako na ufungue sasa PowerAmp full version unlocker nayo itaonekana hivi
Click hapo palipoandikwa Patch na malizia kwa kubonyeza Activate
Rudi sasa na fungua poweramp yako na utapata ujumbe huu
Kama hautaelewa kwa maelezo hayo basi endelea kutumia player zingine tu za kujikongoja
Enjoy wanaJF